Kama viongozi wa DECI wanashitakiwa, washitakiwe pia hao viongozi wa dini wanatetea DECI kwa mgongo wa imani za watu.Kumekuwa na tabia ya viongozi wa dini kuwaburuza waumini watakavyo mara JK ni chaguo la Mungu,mara huyu katubu asamehewe na hivyo kuweka njia panda wafuasi wa dini wasijue wafuate dini gani yenye uelekeo wa kweli.