bamweleze!Nikushike sikio!
Siku nyingine ukileta msg ya kiivi , basi tuletee wa makundi yote.
Tuliomo humu sio wote tumeajiriwa!
Sawa ?
Jiulize sisi ambao ni wafanya biashara na tumeajiri tutapandishwa vyeo kivipi ? Na hata ikitokea , itakua kwa cheo gani ?
Aidha nani atakaethubutu kutulipa salary ? Refar sie ndo walipaji ?.
Usitutenge kijana eboooh !