DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,641
- 81,540
๐๐๐Muda wa kuongea lugha moja kuwa tunaenda na KIPARANGOTO .
KIPARANGOTO ๐๐
๐๐๐Muda wa kuongea lugha moja kuwa tunaenda na KIPARANGOTO .
KIPARANGOTO ๐๐
Inaamini wizi wa kura huwa unafanyika?Inategemea nani ni mgombea ni Sawa Sawa na Chadema ya Mbowe si Chadema ya Lissu
Ni dalili ya mfumo mibovu tuliyo nayo --- raisi kua na mamlaka mengi.HAjakaa km rais kbs ๐ค amekaaa km mama wakulea watoto wasiozidi wannee tu ๐
Wizi wa kura inategemeana na huluka ya mtu, mfano Mpango, Hana huluka ya wizi Dr Shein Jana huluka ya wizi n.k n.kInaamini wizi wa kura huwa unafanyika?
Lipo waziStaiki ile ile inayotumia ccm kupita ndo atatumia maza
Shein alipataje second term? hata Magu wslisema hivyo second term akaandika historia mpya.Wizi wa kura inategemeana na huluka ya mtu, mfano Mpango, Hana huluka ya wizi Dr Shein Jana huluka ya wizi n.k n.k
Magu na kazi nzuri aliofanya, ilibidi aibe ili ashinde??Shein alipataje second term? hata Magu wslisema hivyo second term akaandika historia mpya.
Jibu swali langu mkuu
Ila kwa hapa alikua too much aiseeRais gani anasema et katiba ni kijitabu tu? Tanzania tumepata rais wa hovyo kuwahi kutokea aisee
Swali hilo tumuachie yeye, kama unaona alifanya kazi nzuri swali ni moja kwanini aliiba? -- hili ndo swali la msingiMagu na kazi nzuri aliofanya, ilibidi aibe ili ashinde??
Hiko chama wote hawaheshimu katiba sukuhisho ni kukikataa hiko chama kwa ujumla wakeIla kwa hapa alikua too much aisee
Ukweli mchungu kwa Wana CCM
Kwanini Samia anachukiwa Sana na wanachi masikini, Na wenye kipato Cha Kati?
Ambao population yao ni zaidi ya milioni 60 nchini? Wastani wa wapiga kura 30milion
Sababu ni kwamba Samia baada ya kuingia madarakani alitaka kuwatumika na watu fulani fulani na sio umma.
Akalegeza Kodi matajiri wakakenua meno ndio mwanzo wa kuanza kutumika
Matokeo yake maafisa wa TRA wakaanza kushirikiana na wafanyabiashara kupora pesa za umma na kujineemesha kupitia Kodi.
Hapo hapo kila mtu akaanza kula kwa urefu wa kamba yake
Nchi ikawa failed state, Shamba la Bibi, kila mtu anajichotea tu.
Wananchi walivyoanza kupaza sauti ndio akashutuka too late!!
Genge limeshamzunguka hawezi kulishughulikia akaanza kurudisha watu wahuni serikalini maana washauri wake ndio waaribifu wake.
Akatumikia wezi, Wasanii, machawa na wastaafu wasio waadilifu.
Watu wakateka system yake kwa sababu ndege wafananao uruka pamoja
Ufisadi ukatamalaki, watu walivyoanza kuhoji ndio akapewa wazo la kuwateka.
Sasa wamemtumia wee na wanatafuta na wanaenda kumbwaga.
Ushauri ukiwa Rais wa nchi simama na umma!! Simama na wanachi wa kipato cha chini matajili uwa wanaangalia maslahi yao tu!
Sasahivi wapo wananusa nani anakuja ili waanze kuwekeza kwa sababu wanajua Samia kashapoteza system yake ya uongozi.
Dear Mama see you later.
Hapa naona kama kuna hasira za kuibiana Kura na mabwana, mtu anarusha mpaka jiwe la kilo kumi?
Kabisa watu kama kina Bashe, Musukuma na wengineo ,miaka nenda rudi hakuna jipyaNi dalili ya mfumo mibovu tuliyo nayo --- raisi kua na mamlaka mengi.
Na swali lingine wasaidizi wengine na wstumishi wengine wanafanya kazi gani?
Maana haiwezi tumkatae SSH alafu baadae raisi mwingine circle ya mawaziri ile ile - watanzania hapa tunapigwa
Swali fikirishi ??!! ๐คท๐ฟโโ๏ธ๐ญโ๏ธCcm inakubalika?
Watu wana hasira sanaHapa naona kama kuna hasira za kuibiana Kura na mabwana, mtu anarusha mpaka jiwe la kilo kumi?
Kwani unadhani inaweza ikatokea tofauti ???!Ni dalili ya mfumo mibovu tuliyo nayo --- raisi kua na mamlaka mengi.
Na swali lingine wasaidizi wengine na wstumishi wengine wanafanya kazi gani?
Maana haiwezi tumkatae SSH alafu baadae raisi mwingine circle ya mawaziri ile ile - watanzania hapa tunapigwa