Dear Mama, See you later!

Dear Mama, See you later!

Griss umefanikiwa sana Kwa hii spinning! Kwa sasa watu hawajui agenda zao! Imebaki kidakia kila post zenye maudhui ya namna hii.

Heko sana kwa Eagle
 
Ukiingia mtandaoni kusikia au kusoma yanaendelea kisha rudi huku mtaani tunako ishi mambo ni tofauti kabisa. Hakuna utofauti wowote ule wa kimaisha kipindi cha jiwe na sasa maisha yetu ni yaleyale lazima utoke asubuhi uende ukapambane ili jioni angalau dagaa wachemke nyumbani
 
Ukweli mchungu kwa Wana CCM

Kwanini Samia anachukiwa Sana na wanachi masikini, Na wenye kipato Cha Kati?

Ambao population yao ni zaidi ya milioni 60 nchini? Wastani wa wapiga kura 30milion.

Sababu ni kwamba Samia baada ya kuingia madarakani alitaka kutumika na watu fulani fulani na sio umma.

Akalegeza Kodi matajiri wakakenua meno ndio mwanzo wa kuanza kutumika.

Matokeo yake maafisa wa TRA wakaanza kushirikiana na wafanyabiashara wakubwa kupora pesa za umma na kujineemesha kupitia Kodi.

Hapo hapo kila mtu akaanza kula kwa urefu wa kamba yake

Nchi ikawa failed state, Shamba la Bibi, kila mtu anajichotea tu.

Wananchi walivyoanza kupaza sauti ndio akashutuka too late!!

Genge limeshamzunguka hawezi kulishughulikia akaanza kurudisha watu wahuni serikalini maana washauri wake ndio waaribifu wake.

Akatumikia wezi, Wasanii, machawa na wastaafu wasio waadilifu.

Watu wakateka system yake kwa sababu ndege wafananao uruka pamoja

Ufisadi ukatamalaki, watu walivyoanza kuhoji ndio akapewa wazo la kuwateka ili nchi inyamaze atawale kwa ulaini kikamlamba anavyoteka ndio wanavyoongezeka wakosoaji.

Sasa wamemtumia wee na wamemchoka na wanaenda kumbwaga.

Ushauri ukiwa Rais wa nchi simama na umma!! Simama na wanachi wa kipato cha chini matajiri uwa wanaangalia maslahi yao tu!

Sasahivi wapo wananusa nani anakuja ili waanze kuwekeza kwa sababu wanajua Samia kashapoteza system yake ya uongozi.

Dear Mama see you later.
We ndio watu maskini? Kenge tu wewe subiri Oktoba acha kutapatapa
 
Dah huku wananchi wanaoishi kwa shling elfu mbili hafi elfu tano kwa sku yaan wanaumia sana kuna watu hawataki hata kuskia hali n ngumu, biashara haziendi kabisa
 
Ukweli mchungu kwa Wana CCM

Kwanini Samia anachukiwa Sana na wanachi masikini, Na wenye kipato Cha Kati?

Ambao population yao ni zaidi ya milioni 60 nchini? Wastani wa wapiga kura 30milion.

Sababu ni kwamba Samia baada ya kuingia madarakani alitaka kutumika na watu fulani fulani na sio umma.

Akalegeza Kodi matajiri wakakenua meno ndio mwanzo wa kuanza kutumika.

Matokeo yake maafisa wa TRA wakaanza kushirikiana na wafanyabiashara wakubwa kupora pesa za umma na kujineemesha kupitia Kodi.

Hapo hapo kila mtu akaanza kula kwa urefu wa kamba yake

Nchi ikawa failed state, Shamba la Bibi, kila mtu anajichotea tu.

Wananchi walivyoanza kupaza sauti ndio akashutuka too late!!

Genge limeshamzunguka hawezi kulishughulikia akaanza kurudisha watu wahuni serikalini maana washauri wake ndio waaribifu wake.

Akatumikia wezi, Wasanii, machawa na wastaafu wasio waadilifu.

Watu wakateka system yake kwa sababu ndege wafananao uruka pamoja

Ufisadi ukatamalaki, watu walivyoanza kuhoji ndio akapewa wazo la kuwateka ili nchi inyamaze atawale kwa ulaini kikamlamba anavyoteka ndio wanavyoongezeka wakosoaji.

Sasa wamemtumia wee na wamemchoka na wanaenda kumbwaga.

Ushauri ukiwa Rais wa nchi simama na umma!! Simama na wanachi wa kipato cha chini matajiri uwa wanaangalia maslahi yao tu!

Sasahivi wapo wananusa nani anakuja ili waanze kuwekeza kwa sababu wanajua Samia kashapoteza system yake ya uongozi.

Dear Mama see you later.
Binafsi namkubali sana na sio Mimi tu Bali watu wengi haswaaa.
 
Pamoja na ukali wa marehemu magu na madhaifu yake km binadamu lkn nchi watu wa chini walikuwa wanafuraha sana,aliwashika sana na wasiposikia kuwa amekufa watu wa chini walilia sana na mpaka Leo Huwa wanaamini kuwa mkomboz wao alikuwa magu
Hao ni wapumbavu na watu kama wewe. Wengine walifanya nsherehe kabisa. Mliokuwa mnaitwa wanyonge ndiyo mlikuwa mnalia
 
Ukiingia mtandaoni kusikia au kusoma yanaendelea kisha rudi huku mtaani tunako ishi mambo ni tofauti kabisa. Hakuna utofauti wowote ule wa kimaisha kipindi cha jiwe na sasa maisha yetu ni yaleyale lazima utoke asubuhi uende ukapambane ili jioni angalau dagaa wachemke nyumbani
Jiwe alikuwa laana kwa taifa
 
Kabisa watu kama kina Bashe, Musukuma na wengineo ,miaka nenda rudi hakuna jipya
naam mkuu hapa kuna kitu hakipo sawa nchi hii -- nakupa mfano magu alivokufa watu wakaanza sema rushwa zimerudi, nidhamu ofisi ya umma zimeshuka, tanesco wanakata umeme

lakini tukiangalia kiundani kila sekta hapo kuna mamlaka zinazosimamia na ambazo inabidi na zenyewe zisimamiwe
 
Back
Top Bottom