Dear Mama, See you later!

Dear Mama, See you later!

Embu tuelezeeni 1.6T iliyofanya AG kujiuzulu?

Hapo kwenye Kodi, labda hujui falsafa za kiuchumi kati ya monetary policy na fiscal policy.

Kipindi Cha magu, mambo yalikuwa magumu mpaka raia wakawa wanasema vyuma vimekaza, au ulikuwa Ulaya mwenzetu?

Sasa fiscal policy aliyoitumia magu iliboresha nini?
Wakati watu wachache waliishi kama wafalme na majority kuwa chawa tu.

Pesa zinapelekwa kwa makampuni ya ujenzi ya nje hivyo haizunguki ndani halafu unataka kusema nini?

Mama mpaka 2035
 
Sasa mimi sina hata cheti kimoja. Ndiyo maana akawa anawaita wanyonge,hamna akili hata kidogo kila kitu unawaza vyeti.
Pole sana ndugu,roho mbaya na husuda zimekujaa moyoni mwako,km ww sio mnyonge tulia ndugu km unawashwa km mwanamke ndugu
 
Embu tuelezeeni 1.6T iliyofanya AG kujiuzulu?

Hapo kwenye Kodi, labda hujui falsafa za kiuchumi kati ya monetary policy na fiscal policy.

Kipindi Cha magu, mambo yalikuwa magumu mpaka raia wakawa wanasema vyuma vimekaza, au ulikuwa Ulaya mwenzetu?

Sasa fiscal policy aliyoitumia magu iliboresha nini?
Wakati watu wachache waliishi kama wafalme na majority kuwa chawa tu.

Pesa zinapelekwa kwa makampuni ya ujenzi ya nje hivyo haizunguki ndani halafu unataka kusema nini?

Mama mpaka 2035
Labda amuchukue akuendeshee familia yako
 
Pole sana ndugu,roho mbaya na husuda zimekujaa moyoni mwako,km ww sio mnyonge tulia ndugu km unawashwa km mwanamke ndugu
Sasa husuda za nini au hujui unachoandika? Wanyonge nyie watu wa ajabu sana, jiwe aliweza kuwatumia vizuri sana
 
Ukweli mchungu kwa Wana CCM

Kwanini Samia anachukiwa Sana na wanachi masikini, Na wenye kipato Cha Kati?

Ambao population yao ni zaidi ya milioni 60 nchini? Wastani wa wapiga kura 30milion.

Sababu ni kwamba Samia baada ya kuingia madarakani alitaka kutumika na watu fulani fulani na sio umma.

Akalegeza Kodi matajiri wakakenua meno ndio mwanzo wa kuanza kutumika.

Matokeo yake maafisa wa TRA wakaanza kushirikiana na wafanyabiashara wakubwa kupora pesa za umma na kujineemesha kupitia Kodi.

Hapo hapo kila mtu akaanza kula kwa urefu wa kamba yake

Nchi ikawa failed state, Shamba la Bibi, kila mtu anajichotea tu.

Wananchi walivyoanza kupaza sauti ndio akashutuka too late!!

Genge limeshamzunguka hawezi kulishughulikia akaanza kurudisha watu wahuni serikalini maana washauri wake ndio waaribifu wake.

Akatumikia wezi, Wasanii, machawa na wastaafu wasio waadilifu.

Watu wakateka system yake kwa sababu ndege wafananao uruka pamoja

Ufisadi ukatamalaki, watu walivyoanza kuhoji ndio akapewa wazo la kuwateka ili nchi inyamaze atawale kwa ulaini kikamlamba anavyoteka ndio wanavyoongezeka wakosoaji.

Sasa wamemtumia wee na wamemchoka na wanaenda kumbwaga.

Ushauri ukiwa Rais wa nchi simama na umma!! Simama na wanachi wa kipato cha chini matajiri uwa wanaangalia maslahi yao tu!

Sasahivi wapo wananusa nani anakuja ili waanze kuwekeza kwa sababu wanajua Samia kashapoteza system yake ya uongozi.

Dear Mama see you later.
Kwani ni ile ya kusevice gari ya safari kutoka dar dom,rockcity halafu dereva kaamua kuchikichia hela ya service dar,na safari ni dar,dom mwanza?ama jina tu.
 
Back
Top Bottom