Dear Mama, See you later!

Dear Mama, See you later!

Griss

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2025
Posts
337
Reaction score
1,945
Ukweli mchungu kwa Wana CCM

Kwanini Samia anachukiwa Sana na wanachi masikini, Na wenye kipato Cha Kati?

Ambao population yao ni zaidi ya milioni 60 nchini? Wastani wa wapiga kura 30milion.

Sababu ni kwamba Samia baada ya kuingia madarakani alitaka kutumika na watu fulani fulani na sio umma.

Akalegeza Kodi matajiri wakakenua meno ndio mwanzo wa kuanza kutumika.

Matokeo yake maafisa wa TRA wakaanza kushirikiana na wafanyabiashara wakubwa kupora pesa za umma na kujineemesha kupitia Kodi.

Hapo hapo kila mtu akaanza kula kwa urefu wa kamba yake

Nchi ikawa failed state, Shamba la Bibi, kila mtu anajichotea tu.

Wananchi walivyoanza kupaza sauti ndio akashutuka too late!!

Genge limeshamzunguka hawezi kulishughulikia akaanza kurudisha watu wahuni serikalini maana washauri wake ndio waaribifu wake.

Akatumikia wezi, Wasanii, machawa na wastaafu wasio waadilifu.

Watu wakateka system yake kwa sababu ndege wafananao uruka pamoja

Ufisadi ukatamalaki, watu walivyoanza kuhoji ndio akapewa wazo la kuwateka ili nchi inyamaze atawale kwa ulaini kikamlamba anavyoteka ndio wanavyoongezeka wakosoaji.

Sasa wamemtumia wee na wamemchoka na wanaenda kumbwaga.

Ushauri ukiwa Rais wa nchi simama na umma!! Simama na wanachi wa kipato cha chini matajiri uwa wanaangalia maslahi yao tu!

Sasahivi wapo wananusa nani anakuja ili waanze kuwekeza kwa sababu wanajua Samia kashapoteza system yake ya uongozi.

Dear Mama see you later.
 
Ukweli mchungu kwa Wana CCM

Kwanini Samia anachukiwa Sana na wanachi masikini, Na wenye kipato Cha Kati?

Ambao population yao ni zaidi ya milioni 60 nchini? Wastani wa wapiga kura 30milion

Sababu ni kwamba Samia baada ya kuingia madarakani alitaka kuwatumika na watu fulani fulani na sio umma.

Akalegeza Kodi matajiri wakakenua meno ndio mwanzo wa kuanza kutumika

Matokeo yake maafisa wa TRA wakaanza kushirikiana na wafanyabiashara kupora pesa za umma na kujineemesha kupitia Kodi.

Hapo hapo kila mtu akaanza kula kwa urefu wa kamba yake

Nchi ikawa failed state, Shamba la Bibi, kila mtu anajichotea tu.

Wananchi walivyoanza kupaza sauti ndio akashutuka too late!!

Genge limeshamzunguka hawezi kulishughulikia akaanza kurudisha watu wahuni serikalini maana washauri wake ndio waaribifu wake.

Akatumikia wezi, Wasanii, machawa na wastaafu wasio waadilifu.

Watu wakateka system yake kwa sababu ndege wafananao uruka pamoja

Ufisadi ukatamalaki, watu walivyoanza kuhoji ndio akapewa wazo la kuwateka.

Sasa wamemtumia wee na wanatafuta na wanaenda kumbwaga.

Ushauri ukiwa Rais wa nchi simama na umma!! Simama na wanachi wa kipato cha chini matajili uwa wanaangalia maslahi yao tu!

Sasahivi wapo wananusa nani anakuja ili waanze kuwekeza kwa sababu wanajua Samia kashapoteza system yake ya uongozi.

Dear Mama see you later.
 
Ukweli mchungu kwa Wana CCM

Kwanini Samia anachukiwa Sana na wanachi masikini, Na wenye kipato Cha Kati?

Ambao population yao ni zaidi ya milioni 60 nchini? Wastani wa wapiga kura 30milion

Sababu ni kwamba Samia baada ya kuingia madarakani alitaka kuwatumika na watu fulani fulani na sio umma.

Akalegeza Kodi matajiri wakakenua meno ndio mwanzo wa kuanza kutumika

Matokeo yake maafisa wa TRA wakaanza kushirikiana na wafanyabiashara kupora pesa za umma na kujineemesha kupitia Kodi.

Hapo hapo kila mtu akaanza kula kwa urefu wa kamba yake

Nchi ikawa failed state, Shamba la Bibi, kila mtu anajichotea tu.

Wananchi walivyoanza kupaza sauti ndio akashutuka too late!!

Genge limeshamzunguka hawezi kulishughulikia akaanza kurudisha watu wahuni serikalini maana washauri wake ndio waaribifu wake.

Akatumikia wezi, Wasanii, machawa na wastaafu wasio waadilifu.

Watu wakateka system yake kwa sababu ndege wafananao uruka pamoja

Ufisadi ukatamalaki, watu walivyoanza kuhoji ndio akapewa wazo la kuwateka.

Sasa wamemtumia wee na wanatafuta na wanaenda kumbwaga.

Ushauri ukiwa Rais wa nchi simama na umma!! Simama na wanachi wa kipato cha chini matajili uwa wanaangalia maslahi yao tu!

Sasahivi wapo wananusa nani anakuja ili waanze kuwekeza kwa sababu wanajua Samia kashapoteza system yake ya uongozi.

Dear Mama see you later.
akwende zake hukooooooooo
 
Back
Top Bottom