DCI: Tumemchoka Mange

DCI: Tumemchoka Mange

Heheheh Mange bana ndugu zake atawazika kwa whatsapp
Ni heri kufanya anachofanya hata kama atazikwa huko kuliko kuwa mjinga mjinga na kusubiri kuzikwa na ndugu zako.
 
DCI kama kweli hii ni kauli yake ...its better he steps down immediately
Dola inakiri kumchoka raia kwa lipi?
Raia wangapi dola imewachoka?
Lissu aseme ukweli upi? huu ni unafiki tena uliokithiri....hii tabia ya baadhi ya viongozi tuliowapa dhamana kujiona kama miungu watu wanaipata wapi?
Basi kwa kuwa hao wakubwa wana uwezo wa "kuwachoka"binadamu wenzao watanzania tumuachie mungu!
 
Hivi ninyi mnaomtetea Mange mna akili kweli? Mangi hana hoja zaidi ya matusi. Hawezi kupanga hoja bila matusi. Nitafurahi sana siku akiwekwa mikononi mwa vyombo vya usalama.
Polisi wanatuzuga, mhalifu wa Kitanzania anayekimbilia Uingereza anahesabika kuwa mhalifu na anaweza kurejeshwa nchini. Tatizo hapa ni kuwa pilisu hawa grounds za kumshitaki. Sana sana watamshitaki kwa uchochezi kosa ambalo wameshamshitaki Lisu mara tano lkn wameshindwa kukamilisha upelelezi hadi sasa! Ukizingati idadi ya kesi walizomfungulia Lisu na wameshindwa kuzimaliza hadi yanamkuta Lisu yaliyomkuta, utauzuiaje umma usiwaze vyovyote?

Vv
 
Mmemochaka. Kwenye ukurasa wake mnaenda kufanya nini?

‍♂️naenda zimbobo.
 
Hii ni habari katika gazeti la Uhuru la siku ya leo tarehe 12/09/2017.

Pia amtaka Lissu aeleze ukweli asiingize siasa(ni katika habari hiyo inayomuhusu Mange)

Chanzo:Uhuru

My take
:
Reaction ya Mange baada ya Lissu kupigwa risasi ilikuwa si ya mchezo hasa baada ya bwana mkubwa mmoja kutoa salaam zake.

Alafu hii hofu ya atakachosema Lissu inatoka wap?!
Huyu DCI amehamua kumuongezea Mange followers!!
 
Back
Top Bottom