tangu msikie watu wakitumia maneno "shame on you" basi imekuwa fassion, kila sehemu mnayapachika tu.Mbona hawa watu wanakuwa wajinga? Mtu kaumizwa bado mnastick kaigiza...shame on u!
tangu msikie watu wakitumia maneno "shame on you" basi imekuwa fassion, kila sehemu mnayapachika tu.Mbona hawa watu wanakuwa wajinga? Mtu kaumizwa bado mnastick kaigiza...shame on u!
Misaada ya mabwana zao(wazungu)watakosa mpaka mishahara ya wafanyakazi....Kwanini wana weweseka hivi lakini?
UWEZO WAKO NI..............!!!!!????Cheki hii akili
Hivi ninyi mnaomtetea Mange mna akili kweli? Mangi hana hoja zaidi ya matusi. Hawezi kupanga hoja bila matusi. Nitafurahi sana siku akiwekwa mikononi mwa vyombo vya usalama.
Ndiyo maana nikasema hapo juu ni aibu kwa DCI ku entertain speculations.Chassis number hufutikaga
Teh the, Nissan ukimwomba tu taarifa atatoa tu. Hiyo model ni mpya imeingia lini nani aliuziwa zipo wapi nyingine. Nakumbuka movie ya uncle viniNdiyo maana nikasema hapo juu ni aibu kwa DCI ku entertain speculations.
Habari kamili zikitafutwa zitapatikana.
Ujinga kama huu unazidi kufanya watu waamini tukio zima limepangwa na serikali na huyu DCI anatumika kuficha ukweli tu.
Sent from my Kimulimuli
Mange hajawahi kukuacha salamaaaa maana tunawajua nyinyi ni wazee wa kujistukia tu hahahaha viva mangeHivi ninyi mnaomtetea Mange mna akili kweli? Mangi hana hoja zaidi ya matusi. Hawezi kupanga hoja bila matusi. Nitafurahi sana siku akiwekwa mikononi mwa vyombo vya usalama.
Hata kile kibao cha gari ya ealiyempiga risasi Lissu kinaweza kufuatiliwa mpaka kikajulikana kimeanzia wapi.Teh the, Nissan ukimwomba tu taarifa atatoa tu. Hiyo model ni mpya imeingia lini nani aliuziwa zipo wapi nyingine. Nakumbuka movie ya uncle vini
Kifalsafa, unaweza tu kujua kuwa kitu ni kweli kama unakijua, vinginevyo inakuwa ni taarifa tu. Mfano ukinisikia najitambulisha kwamba naitwa Faru John ilhali unajua kuwa naitwa Ralph Tyler unaweza kusema hiyo siyo kweli kwa kuwa jina langu unalijua.Hii ni habari katika gazeti la Uhuru la siku ya leo tarehe 12/09/2017.
Pia amtaka Lissu aeleze ukweli asiingize siasa(ni katika habari hiyo inayomuhusu Mange)
Chanzo:Uhuru
My take:
Reaction ya Mange baada ya Lissu kupigwa risasi ilikuwa si ya mchezo hasa baada ya bwana mkubwa mmoja kutoa salaam zake.
Alafu hii hofu ya atakachosema Lissu inatoka wap?!
Toka 2015 wakati anatukana ukawa mliona sawa tena wengine wakashauri apewe nafsi,leo kagusa kwenyewe ndio mnabwabwaja kma mazuzu.Hivi ninyi mnaomtetea Mange mna akili kweli? Mangi hana hoja zaidi ya matusi. Hawezi kupanga hoja bila matusi. Nitafurahi sana siku akiwekwa mikononi mwa vyombo vya usalama.
Hivi anakojoa amesimama ama kachuchumaa huyu kimange?Huyo ni msaliti km wasaliti wengine.Dawa ya msaliti duniani kote-ni moja tu!
Acha awatukane tu maana ninyi mnajibu kwa mitutu sisi tutajibu kwa midomo yetu. Actually mnastahili matusi na zaidi ya matusi. TL anapigania uhai wake mtu anasema eti Lissu asiingize siasa seriously! Hivi ni roho ipi ninyi watu mlipewa na shetani au ni jinamizi linawasumbua. Mange fanya yako!Hivi ninyi mnaomtetea Mange mna akili kweli? Mangi hana hoja zaidi ya matusi. Hawezi kupanga hoja bila matusi. Nitafurahi sana siku akiwekwa mikononi mwa vyombo vya usalama.
Ipo ipo hakuna namnaHivi ninyi mnaomtetea Mange mna akili kweli? Mangi hana hoja zaidi ya matusi. Hawezi kupanga hoja bila matusi. Nitafurahi sana siku akiwekwa mikononi mwa vyombo vya usalama.
Hakuna sababu ya kuupenda mto wenye mamba.Kwani kinachoua ni tanzania au watanzania ?
je watanzania wote ni wauaji ?
je miongoni mwa watanzania hakuja wauaji ?
tuipende Tanzania yetu.
Upendo ni tiba.
Limeungua kivipi? hapa kuna kitu. Kumbe DAB kuonekana Moro kulikuwa na kitu