DCI: Tumemchoka Mange

DCI: Tumemchoka Mange

Wao wamchoke tu, Sisi wala hatumchoki.. Maana ndie mbadala wa Lissu uliobaki!
 
Hili Gazeti hata wakuu Wa wilaya hawalinunui, ndo liwe chanzo cha habari? Yaani DCI kweli na weledi wake ampangie Majeruhi (Lissu) cha kuongea? Wanataka kusema DCI analijua tukio kuliko Lissu? Nitashangaa DCI akikaa kimya kwa kauli kama hii labda naye ni Pro Kijani!

ACHA nikae KIMYA...!
 
Hivi ninyi mnaomtetea Mange mna akili kweli? Mangi hana hoja zaidi ya matusi. Hawezi kupanga hoja bila matusi. Nitafurahi sana siku akiwekwa mikononi mwa vyombo vya usalama.
Ha haaa... eti hana joja..... haya wenye joja wako nairobi wanapigania maisha yao sasa nyie mnataka nini, hoja hamtaki na matusi je? Mange sio wa mchezo mchezo. .. le Mutuz jana sijui aliishia wapi na hoja zake za smg na bomu....
 
Waliokuwa wakiwapaka mafuta watawala leo hii wana maisha gani?Wanaoneshwa hadharani hadi inashangaza,nani alitegemea kuna siku bwana mdogo wa Lindi vijijini anaweza kuwa treated kikatili vile?

May Allah bless Me and You

Mkuu huyo anapigania buku 7 tu lakini moyo wake ni wa nyama na anajua yuko kwenye
upande usio sahihi wa historia ya nchi yetu.....
 
15a259d6a15f8de2bf95e50f46661e07.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
DCI mzima ana entertain baseless speculations.

Kwa nini?

Sent from my Kimulimuli
 
Uhuru gazeri la CCM tangu lini wakaandika habari za maana ili gazeti lilishapoteza dira tangu kipindi cha kampeni hadi uchaguzi mkuu 2015 wanaolisoma hili gazeti ni zaidi ya wajinga
 
Mange anajitahidi sana. Ni kama ka-snowden au ka- assange kadogo.

Anaeleweka sana tu.Matusi ni kama viungo/spices ya kumshtua mtu aelewe anachosema maana ukiongea hivi hivi tu watu hawasikii.
 
Back
Top Bottom