Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 19,021
- 9,177
Uhuru halijawahi kuwa huru kimawazo wala kimtazamo sijui ni watu wangapi wanalisoma gazeti hili
Shida ni pale huyo DCI anapoonekana naye sio huru, mimi nawashahuri watume watu wasio julikana huko kwa mange wakamteke!
hadharani hadi inashangaza,nani alitegemea kuna siku bwana mdogo wa Lindi vijijini anaweza kuwa treated kikatili vile?