Zeroiez
Senior Member
- May 2, 2013
- 181
- 201
Pole sanaHivi ninyi mnaomtetea Mange mna akili kweli? Mangi hana hoja zaidi ya matusi. Hawezi kupanga hoja bila matusi. Nitafurahi sana siku akiwekwa mikononi mwa vyombo vya usalama.
mùm3 w@ñgù
Pole sanaHivi ninyi mnaomtetea Mange mna akili kweli? Mangi hana hoja zaidi ya matusi. Hawezi kupanga hoja bila matusi. Nitafurahi sana siku akiwekwa mikononi mwa vyombo vya usalama.
Tuipendeje?nisome vizuri boss, utanielewa.
Tuipende nchi yetu Tanzania.
Nadhani damu ya Lissu inatembea kwenye vichwa vyao kama maharage hawana hata akili moja yaani Mwenyezi Mungu mtukufu wa Mbinguni anawaadhibu hapa hapa duniani wana laana ya dunia na mbingu afisa wa jeshi la polisi anaweza kukosa akili kiasi hicho kweli anaweza kusema Lissu aseme ukweli wakati he is gravely sick and he is fighting for his life what a shame huu utawala una laana sana hivi kweli ndio wanadhani watatupeleka kwenye nchi ya viwanda wakati wanashindwa kuhandle swala la Lissu huyu mmoja tu amelel akipigania uhai wake wao huku wanakanyagana wasijuwe la kufanyaHii ni habari katika gazeti la Uhuru la siku ya leo tarehe 12/09/2017.
Pia amtaka Lissu aeleze ukweli asiingize siasa(ni katika habari hiyo inayomuhusu Mange)
Chanzo:Uhuru
My take:
Reaction ya Mange baada ya Lissu kupigwa risasi ilikuwa si ya mchezo hasa baada ya bwana mkubwa mmoja kutoa salaam zake.
Alafu hii hofu ya atakachosema Lissu inatoka wap?!
tena pole hiyo hamtoshi sijui tumpe na bange kabisa mana buku saba ya lumumba inampeleka putaPole sana
mùm3 w@ñgù
Hii ni habari katika gazeti la Uhuru la siku ya leo tarehe 12/09/2017.
View attachment 586663Pia amtaka Lissu aeleze ukweli asiingize siasa(ni katika habari hiyo inayomuhusu Mange)
Kwa tuliozoea michezo ya rafu uwanjani! Lazima kocha ajihami kwa kuwambia wachezaji wake kuwa ikishindikana, chezeni rafu!
Chanzo:Uhuru
My take:
Reaction ya Mange baada ya Lissu kupigwa risasi ilikuwa si ya mchezo hasa baada ya bwana mkubwa mmoja kutoa salaam zake.
Alafu hii hofu ya atakachosema Lissu inatoka wap?!
Kuna ukweli anayoyasema Mange? au ni uongo, hilo ndilo la msingi. kama ni uongo, then apuuzwe. kama ni ukweli asipuuzweUmemsahau Salary Slip.
Magfoolish anausika kwa tundu lisuMpaka Mashinji cha Kuongea anakopi kwa Mange
Chakaza afadhari lakin salary sleep kaongo sana
Sawa.Kuna ukweli anayoyasema Mange? au ni uongo, hilo ndilo la msingi. kama ni uongo, then apuuzwe. kama ni ukweli asipuuzwe
Lakini, mbona mange ana kadi ya CCM?Mpaka Mashinji cha Kuongea anakopi kwa Mange