DCI: Tumemchoka Mange

DCI: Tumemchoka Mange

Hicho chama hakina jipya bali majanga tu.. 2020 wataisoma namba haswaaa. Naamini kampeni ya CCM itaenda shule kuwazidi wao.. wataishia tubmitandaoni kudanganyana na kuvuta wapenda kufata mikumbo bila kufikiria. Na haya wanatenda na kutendeana kisa kiki yameanza kubuma.. lazima wana yao na wengine wa upande wa pili.. hakuna linalojificha milele chini ya jua.. Magufuli akaze kamba wote tutawaona na matukio yao
 
Ukiunganisha Na tukio la kujifanya kapigwa risasi mwanasheria waooo
 
Mpaka Mashinji cha Kuongea anakopi kwa Mange
Ila sijui katibu huyu kapatikanaje maana hata ukifuatilia hotuba yake ya kuteuliwa kule MWANZA ni kituko kikubwa kwamba "nilikuwa nafanya operesheni za chini chini....hata DrUlimboka nilikuwa naye mpk anapata matatizo ...."

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu kuzaliwa Tanzania utaona maajabu ya mussa

Vijana wa chadema wa mtandaoni wanaamini zaid anachosema (men escorter) aliyeko marekani badala ya viongozi wake wa chama,
Unashangaa vijana siku hizi hawana hoja tena ni vijana ambao hawana muelekeo

IPO wapi chadema halisi ya Mzee Mwanakijiji BAK Nyani Ngabu Ocampo for

Nasikitika saana kuona vijana hawana hoja siku hizi wanakimbilia kumshambulia Mtu ambaye atakuwa Na hoja hasi juu yao wao humshambulia mtu kutokana Na anayosema mange kimambi,

Suala ili linaumiza sana ,mbaya zaid haiishii hapo imepenya mpaka kwa viongozi wa juu wa chama hicho,

CHADEMA inapelekea wapi?

Tunataka chama Cha siasa kikuu Cha Upinzani ambacho vijana waliowengi wataweza kumfuata mtu
1. Anayejua kukosoa uchumi
2. Ajira
3. Mfumko wa bei
4. Sheria za nchi Na katiba
5. Kuishauri serikali juu ya mipango yake,

6. Kuweza kuhamasisha maendeleo ambapo serikali imefeli

Lakin imekuwa tofauti sana
60-80% ya vijana wa CHADEMA wamemuelewa sana Mange kimambi kuliko Tumaini Makene JOHN JOHN mnyika Lissu

Wamechagua mfuasi wa tabia hizi
1. Hana elimu ya kutosha
2. Hana makazi maalumu
3. Haramia wa mitandao, Na wizi wa mitandao
4. Mtu ambaye ni night hunter au tiger
Akipost Jambo linawaondoa kwenye hoja za msingi kabisa watu wanaacha kufikiria ,

Mange kimambi amewashika vibaya wa Chadema , Ana account tofauti tofauti mitandao mbali mbali
(Anajitumia messege Na kujijibu then Ana screenshot anaupload , Na anawakamata vema sana)

Vijana acha uzwazwa,
Igeni mifano ya wenzenu kina BAK Na wengine,

Mungu ibariki Chadema,
BASHITE JE??????
 
ccm kila siku wanashinda kwenye accounts za mange kwa ajili ya kuendesha serikali yao....HADI JESHI KA POLISI WANAANGALIA MANGE KASEMA NN.....
ccm wanategemea zaidi CHADEMA kuongoza nchi na wanachukua ajenda za chadema kwa KUKURUPUKA NA KUWASHWAWASHWA NDO MAANA ZINAWASHINDA.....
ccm WATZ wanaka viwanda hbr za chadem nyie endeleeni kusuka mipango ya kuwaua ndicho mnachoweza
 
Hicho chama hakina jipya bali majanga tu.. 2020 wataisoma namba haswaaa. Naamini kampeni ya CCM itaenda shule kuwazidi wao.. wataishia tubmitandaoni kudanganyana na kuvuta wapenda kufata mikumbo bila kufikiria. Na haya wanatenda na kutendeana kisa kiki yameanza kubuma.. lazima wana yao na wengine wa upande wa pili.. hakuna linalojificha milele chini ya jua.. Magufuli akaze kamba wote tutawaona na matukio yao
Shogaangu wa uvccm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sidhani kama aliyepost ni mange ukiangalia content mazingira ya siasa yameshabirika
 
Kasinja jr mbona sio Bavicha pekee! Hata polisi mbona nao wamejikuta wanapelekeshwa na huyo dada? Usishangae msemaji wa serikali naye akaanza kujibizana nae.

Vv
 
Kasinja jr mbona sio Bavicha pekee! Hata polisi mbona nao wamejikuta wanapelekeshwa na huyo dada? Usishangae msemaji wa serikali naye akaanza kujibizana nae.

Vv
 
Tuipendeje?
Kwa kuwaua watanzania?
Kwani kinachoua ni tanzania au watanzania ?

je watanzania wote ni wauaji ?

je miongoni mwa watanzania hakuja wauaji ?


tuipende Tanzania yetu.

Upendo ni tiba.
 
15a259d6a15f8de2bf95e50f46661e07.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Chassis number hufutikaga
 
Kasinja jr
Unadhani kwa nini DCI atoe tamko kuhusu maandishi ya Mange na si yako, Mwanakijij au hao unaodhani wana akili na wamesoma saaaana?
Unapodai Mange ni 'night escorter' una uhakika na hilo na lini uliondoka Chatto na kwenda Los Angeles ukamuona?
Umbeya peleka FB
 
Kasinja jr
Unadhani kwa nini DCI atoe tamko kuhusu maandishi ya Mange na si yako, Mwanakijij au hao unaodhani wana akili na wamesoma saaaana?
Unapodai Mange ni 'night escorter' una uhakika na hilo na lini uliondoka Chatto na kwenda Los Angeles ukamuona?
Umbeya peleka FB
 
Huyo Mange ndio ana wafanya Chadema waonekane wote wajinga wajinga na wapuuzi tuu...yani chadema nzima wanamtegemea Mange tena kwa uzushi....
kama ccm inamhara mpaka afisa mkubwa kabisa wa jeshi la polisi na yeye anaingia kwenye bendi ya CCM ya kumsujudu Mange kwa nini asiwe lulu kwa wengine
 
Back
Top Bottom