DCI: Tumemchoka Mange

DCI: Tumemchoka Mange

Huyo Mange ndio ana wafanya Chadema waonekane wote wajinga wajinga na wapuuzi tuu...yani chadema nzima wanamtegemea Mange tena kwa uzushi....
Ccm manyoya ya mwili mzima yamewasimama kusubiria kusikia Mange atasema nini!

Kwa kuwa hawataki watu waseme (rejea speech ya kuwashwawashwa) inawawia ngumu sana Mange anaposema.
Wanakuwa kama mavi yaliyotawanywa huishia kunuka tu!
Hayawezi kuirejelea hali yao ya mwanzo.
 
Hii ni habari katika gazeti la Uhuru la siku ya leo tarehe 12/09/2017.

Pia amtaka Lissu aeleze ukweli asiingize siasa(ni katika habari hiyo inayomuhusu Mange)

Chanzo:Uhuru

My take
:
Reaction ya Mange baada ya Lissu kupigwa risasi ilikuwa si ya mchezo hasa baada ya bwana mkubwa mmoja kutoa salaam zake.

Alafu hii hofu ya atakachosema Lissu inatoka wap?!
Followers wa Mange ni zaidi ya 1m. Sasa utakuta watu humu JF wanajibaraguza baraguza tu kumbe wanamfuatilia kimya kimya. Na kum follow mtu si kwa sababu moja tu. Sababu ni nyingi sana. UHURU!
 
Na kweli Lu mutuz ndo Crime analyst wa Lumumba. Juzi katoa upuuzi wake hapa akielezea tukio la Lissu utafikiri mtoto wa std VII.

ACHA nikae KIMYA...!
Shame

Sent from my HTC U11 using JamiiForums mobile app
 
Huyo Mange ndio ana wafanya Chadema waonekane wote wajinga wajinga na wapuuzi tuu...yani chadema nzima wanamtegemea Mange tena kwa uzushi....
Huyu Mange lini alipewa kadi ya CHADEMA? Kuuliza siyo kosa maana zama za mwaka 2015 alikuwa shabiki na mwanachama mzuri wa CCM

Sent using Gwikongo s33
 
Mange ameshazika baba na mama
Hivi hawa watu wengine huwa wanajiuliza maswali kabla ya kuandika au wanajiandikia tu kwa mazoea?

Yani akiona yeye yupo kijijini, basi anafikiri kila mtu yupo kijijini kama yeye.

Akiona yeye ana baba na mama anaishi, anafikiri kila mtu ana baba na mama anaishi.

Halafu anafikiri kila mtu anaendekeza habari za kuzika dunia hii.

Kuna watu zishafyatuka. Kuna watu wako Tanzania na hawana mgogoro na serikali na kwenye mazishi hawaendi.

Itakuwa Mange?

Pumbavu kabisa.

Sent from my Kimulimuli
 
Hivi ninyi mnaomtetea Mange mna akili kweli? Mangi hana hoja zaidi ya matusi. Hawezi kupanga hoja bila matusi. Nitafurahi sana siku akiwekwa mikononi mwa vyombo vya usalama.

Mkilitewa HOJA si mnaleta 28-32........
Matusi ndiyo saizi yenu, huyo Mange ndiyo anawafaa....
Hoja Hamuwezi na matusi Hamuwezi pia......
Msituchoshe.......
 
Hivi waandishi wa hbr wa hicho kijarida hi watz kweli? Hivi wanaijua ccm kuliko nape na kinana hao mbwa.....AU NDO MWENDO WA TOILET PAPER
 
Wabongo wengine wanapenda sana ku assume.

Kuna watu kibao hawana beef na serikali wala nini na wanasema hawarudi mpaka Magufuli aondoke na kuwe na muelekeo mzuri.

Maana unaweza kupotezwa na "watu wasiojulikana".

Itakuwa Mange ambaye yupo kwenye blacklist kila kituo cha uhamiaji?

Atumie tu "First Amendment" right yake ya kutukana viongozi huku Marekani ambapo watu wanamtukana Trump na Obama kila siku.

Na huyo anayetukanwa kajutakia kutukanwa mwenyewe kwa maneno na vitendo vyake vya ovyo.

Rais gani anawaita mawaziri aliowateua mwenyewe wapumbavu na hivyo kujitukana yeye mwenyewe aliyewateua mpumbavu zaidi?

Mimi natetea haki ya Mange kutukana anavyotaka. Ni uhuru wa kujueleza. Ukishataka urais ushakubali kutukanwa.

Wahenga walisema ukubwa gunia la chawa.

Sent from my Kimulimuli
We mbna hutukani au ndo nyie mnakaa nyuma ya kibodi na kutoa RIP, Tuko pamoja kamanda na maneno mengine ya kutiana moyo wakati wenzenu wakipata majanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ninyi mnaomtetea Mange mna akili kweli? Mangi hana hoja zaidi ya matusi. Hawezi kupanga hoja bila matusi. Nitafurahi sana siku akiwekwa mikononi mwa vyombo vya usalama.
Ushawahi kusikia kitu kinaitwa "The First Amendment to the United States Constitution" katika maisha yako yote?

Kama hujasikia na lugha hii unaifahamu, Google hayo maneno halafu soma.

Ujue kwamba Mange anatetewa na katiba ya Marekani.

Na kama wewe hupendi hayo maneno, bishana na katiba ya Marekani.

Sent from my Kimulimuli
 
Back
Top Bottom