alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Hayo ni maneno yako.Mnazitumainia sana bunduki eeh?
Siku mtoa roho akiwatimbia mumpige risasi 40, Sawa!
Hayo ni maneno yako.Mnazitumainia sana bunduki eeh?
Siku mtoa roho akiwatimbia mumpige risasi 40, Sawa!
Plus DCI kujibu direct kutoka kwenye paredi!!Nimeamini Mange sio wa mchezo mchezo hadi amekuwa source ya gazeti pendwa la Uhuru.
Ni miongoni mwa magazeti yanayosomwa na watu ambao huvizia matukio ya watu fulani!Ni kama chombo cha kupigia mstari maneno ya watu wanaojiona watukufu!Si hilo tu kuna Habari Leo,Dairly News,Hoja,Tazama ongeza na Radio Uhuru,TBC,nk.Uhuru halijawahi kuwa huru kimawazo wala kimtazamo sijui ni watu wangapi wanalisoma gazeti hili
Ni heri uyaelewe yakupe upenyo wa kutubu na kuzijutia dhambi zako. Itakusaidia hata wakati roho yako inatengana na mwili, Mwili wala hautakuwa na hofu kiasi cha kuhangaika kwa kutupa mateke kurusha mikono, kusaga meno, kujigongagonga kichwa, kunya!Hayo ni maneno yako.
Kama mnavyomtegemea lemutuzHuyo Mange ndio ana wafanya Chadema waonekane wote wajinga wajinga na wapuuzi tuu...yani chadema nzima wanamtegemea Mange tena kwa uzushi....
Kwani mtu akifa lazma azikwe na ndugu..??Heheheh Mange bana ndugu zake atawazika kwa whatsapp
Wabongo wengine wanapenda sana ku assume.Shangaa na hana baba wala mama wote alishawazika,,na ashasema haji ng'oooo bongo
Na kweli Lu mutuz ndo Crime analyst wa Lumumba. Juzi katoa upuuzi wake hapa akielezea tukio la Lissu utafikiri mtoto wa std VII.Kama mnavyomtegemea lemutuz
Sent from my HTC U11 using JamiiForums mobile app
Mkimuona mwambieni asimlazimishe, akishasema huo ukweli then atafanyanini?Mbona hawa watu wanakuwa wajinga? Mtu kaumizwa bado mnastick kaigiza...shame on u!