DCI Manumba akata kauli

Pole sana Kamanda!...Mungu atakutendea Miujiza!
Its a moment whereby every citizen got to pray for him...
Do away with personals buddies, hakuna anayeomba kuugua!
Hata hivyo, Malaria HAIKUBALIKI!

kwa kweli naomba nikiri kwamba siwezi kupoteza nguvu zangu kufanya kazi hiyo. Simwombei afe ila kwa matatizo wanayowafanyia watz samahani sana.
 
Get well soon Manumba, japo una vimeo lukuki, lakini haki ya kuishi unayo kama human beings wengine bana!
 
Kabla sijatia neno,naombeni mnikumbushe mchango wake kwenye jamìi

Mi nakushauri we utie neno tu kwani ukiambiwa mchango wake katika jamii NENO lako linaweza kupandisha hasira za wenzake humu JF.
 
mie naona wanatukaushia tu amekwisha R.I.P hapo hakuna namna siku hizi mambo ya kawaida wala hatupaswi kushtuka
 
Atukawii kusema amekuwa "manumbaized"!!!
 
Ma Dr waseme ukweli kama ni mapenzi ya allah.
 
Tunasubiri update jamani!!! Au ni siri kuu hadi mfalme arudi!! Maana alienda kumtembelea mara tatu tatu!!! Kunani?
 
Wanasubiri JK amalize safari yake ya kuzurula kule Paris & Zurich ndo watangaze kifo cha huyu jamaa, wakitangaza mapema si itamlazimu mkulu kakatisha safari...

Una akili sana wewe...
 
We unadhani ule mgomo wa madaktari,hasa hasa madai yao yalikuwa nini..." Mazingira bora ya kufanyia kazi" ilikuwa ina maana hiyo..
Wanasiasa wakaanza kupotosha eti helaa..helaa..
Kama wanavyopotosha ishu ya Mtwara na gas sasa hivi..
Usitukumbushe wauwaji wale. Kama sio helaa ni nini, maweee???
 
Hatakufa, bali ataishi! ili ayasimulie matendo makuu ya mungu! Manumba tunakuombea upone lakini ukirudi huku mtaani, uache uovu na utende haki katika wadhifa ulionao huko serikalini!
 
Sina hakika kama Aga Khan ndio hospitali bora zaidi nchini? Wanaweza kuwa na vitanda vizuri na upepo mwanana toka baharini (japo kuna harufu mbaya) lakini kwa matibabu? sidhani! Muhimbili angeweza kupata matibabu bora zaidi.Hata hivyo namwombea apone haraka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…