Kwanin tuuze vipande vipande??
Mara Ikulu, mara Kambi ya gongo la mboto, sijui makongo na mbagala.
Ushauri wangu ni kua nchi NZIMA ni potential kwa uwekezaji kwa jinsi ilivyojaliwa. Tuiuze tu jumla, tutapata bei nzuri ya kutosha kulipia madeni tunayodaiwa nje na kiasi kilichobaki kuweza kugawana.
Hii mambo ya kuuza vipande vipande watatulalia hawa wawekezaji...by shark!!