Mtini
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 1,487
- 2,344
Kwani kuna ambaye amesema JPM ni malaika?Rais Magufuli siyo malaika. Na siyo kila kinachofanywa na kurekebishwa no chance kuletwa hapa JF .....
Kwani kuna ambaye amesema JPM ni malaika?Rais Magufuli siyo malaika. Na siyo kila kinachofanywa na kurekebishwa no chance kuletwa hapa JF .....
Use na nidhamu kidogo....., umelelewa vibaya wewe........!
dont take personal mkuu, game like other games, be on top
In this context , what exactly do you mean by being on top?
Na ni vigumu sana kwa Rais kuwajua 'vizuri' watu anaowateua..si busara kumpa mtu ofisi usie mjua vizur, nadhani ndo busara
Hiyo ni aibu ya karne! Mtumishi hewa anapewa Ukuu wa wilaya?? Simiyu una uhakika na unacheleza? Hata kama una uhakika ungeficha aibu hii!!Alikuwa mtumishi hewa anapokea mshahara wakati hafanyi kazi,
MPWa kapewa jina hewa kashtukaaTaarifa ya kwamba Mkuu wa wilaya Ikungi aliyeteuliwa jana Bw.Fikiri Avias, uteuzi wake umetenguliwa leo, (ndani ya saa 24) kabla hata hajaapishwa imeniacha na maswali mengi sana. Pamoja na kwamba tunaheshimu mamlaka ya uteuzi lakini nadhani ipo shida mahali fulani. Kama ndugu Fikiri hakupaswa kuwa kwenye nafasi hiyo ilikuaje haikujulikana mapema hadi akatangazwa? Nadhani hii si habari njema sana kwa mamlaka husika. Rais wetu mwema Magufuli anapaswa kuchukua hatua zaidi ili kujiridhisha na wateule wake kabla haja"publisize". Anyway namtakia majukumu mema DC mpya wa Ikungi Bw.Miraji Mtaturu ambae alikuwa Katibu wa CCM mkoa wa Mwanza.!
Malisa G.J
Ameshindwa kupanda mihogo haraka harakaNapenda kujua kwanini magesa alitumbuliwa. Anyone can help?
Kama ni hivyo kuna uwezekana.marehemu akatangazwa kuwa mkuu wa wilaya siku moja. Inawezekanaje mtu ambaye taarifa zake hazijulikani ateuliwe kuwa mkuu wa wilaya?? Kwani rais hana watu wa kufuatilia taarifa za watu anaowateua?What if file lake limekuwa wazi baada ya kutangazwa.. nikimaanisha baadhi ya taarifa zilikuwa hazijulikani lakini baada ya watu kuona jina lake wakazitoa..
Yaan ww cku zote nakufuatilia unakunya pumba tu humu jamvin.Baba J.esca kakurupuka tena, ni lini huyu ataacha kukurupuka? HAPA MAJANGA TU!
We, the people, must join hands to stop this madness that has engulfed our nation today...I feel that we have the worst President(kwa mujibu wa Lubuva) ever!Taarifa ya kwamba Mkuu wa wilaya Ikungi aliyeteuliwa jana Bw.Fikiri Avias, uteuzi wake umetenguliwa leo, (ndani ya saa 24) kabla hata hajaapishwa imeniacha na maswali mengi sana. Pamoja na kwamba tunaheshimu mamlaka ya uteuzi lakini nadhani ipo shida mahali fulani. Kama ndugu Fikiri hakupaswa kuwa kwenye nafasi hiyo ilikuaje haikujulikana mapema hadi akatangazwa? Nadhani hii si habari njema sana kwa mamlaka husika. Rais wetu mwema Magufuli anapaswa kuchukua hatua zaidi ili kujiridhisha na wateule wake kabla haja"publisize". Anyway namtakia majukumu mema DC mpya wa Ikungi Bw.Miraji Mtaturu ambae alikuwa Katibu wa CCM mkoa wa Mwanza.!
Malisa G.J
Yaan ww cku zote nakufuatilia unakunya pumba tu humu jamvin.
Una matatizo gani?