laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,731
Ina maana wanateuliwa bila kujulishwa? Acha uongo
Tuachane na utaratibu wa ku suprise vyeo. Ndugu Kinana aliwahi kukataa nafasi ya Ukuu wa Mkoa wakat wa Jakaya, Jk akasema alijifunza tangu hapo akawa ha consult mtu akitaka kumteua, Prof Muhongo nae awali alikataa mara tatu uteuzi mpaka alipoteuliwa tena bila ya kutaarifiwa awali.
Jamaa aache shuguli zake zinazompatia kipato cha siku moja sawa na pato la DC la wiki nzima tena bila ya kunyenyekea nyenyekea wala kujipendekeza pendekeza