DC mpya wa Ikungi, Singida atumbuliwa ndani ya masaa 24

ZAMANI KABLA AUJATEULIWA UNAKUJA WANACHUNGUZA MPAKA NA MGFRIEND ZAKO KAMA N WACHAWI AMA WAGANGA WA KIENYEJI AMA WANAJIUZA BADAE UNAITWA MNAPELEKWA SWMINA YA UONGOZI BILA KUAMBIWA UNAKUTANA NA JINA .....HAPO USALAMA WASHAZUNGUKA NA WEWE KAMA N MPENZI WA GUEST ZA SINZA SUKUMA HAPAA WANAMFWATA MANYWELE WANAMWOMBA RATIBA ZAKO KILA UKIINGIA NAO WANAINGIA NA MWANAMKE KUMBE WAKOKAZINI WAKITOKA HAPO WANAFUNGA FILE....HAJAA UNASHANGAA HATA HIOSEMINA UMEISHIA KULA PERDIEM WANAKUBADILISHA SO NGUMU KUKUTA HAYA MAMBO..ILA KWANGU KAMA RAIS NAMPONGEZA SABABU KUJUA MCHAWI MAPEMA NAYO N USHINDI
 
Mbona hii ni kawaida na ilikuwa inatokea sana enzi ya Nyerere. Mtu unapata taarifa kuwa umeteuliwa cheo fulani, unaitisha party ya kusheherekea na kuropoka maneno ya ajabu ajabu. Mara eti 'Oh nimeukata, umasikini sasa bye bye, mademu sasa watanikoma nk'. TISS huanza kufuatilia mwendo na tabia ya mteuliwa kwa karibi sana mara tu baada ya uteuzi na uki misbehave wanatoa taarifa mteuaji ambaye atatengua mara moja.

Nadhani hiki ndicho alichokipata mteuliwa huyu.
Yaani ndani ya saa24 amesha misbehave? Kabla hata ya kuapishwa?
 
Nimeshangazwa na makosa ya uteuzi wa wakuu wa wilaya kwamba wameteuliwa hata ambao ni hewa.
Baada ya uteuzi wakafutwa tena/kutenguliwa uteuzi wao kwamba ulifanyika kimakosa.

Aliyrwateua anasema ALIWACHUNGUZA SANA

Lakini hatimaye pamoja na uchunguzi,bado ulifanyika uteuzi hewa...safari ni ndefu kama hewa inaingia mpaka ofisi kuu
 
..uzi wangu naona umefutwa.

..ngoja nimtonye bosi labda atawatumbua hawa moderators.

BAK, Mag3, Richard, Maxence Melo
Usishangae JokaKuu, hata mimi nimekuwa nikianzisha thread Jukwaa la Siasa lakini hazitokei na sasa nimeamua kuchangia tu za watu wengine. JF nadhani imeingiliwa na kwa sasa michango iliyojaa utadhani imeandikwa na watoto wa Chekechea na hasa ile inayomsifu Magufuli na serikali yake. JF si tena forum where we dare, imekuwa kama jamvi la Lumumba sycophants!
 
Usishangae JokaKuu, hata mimi nimekuwa nikianzisha thread Jukwaa la Siasa lakini hazitokei na sasa nimeamua kuchangia tu za watu wengine. JF nadhani imeingiliwa na kwa sasa michango iliyojaa utadhani imeandikwa na watoto wa Chekechea na hasa ile inayomsifu Magufuli na serikali yake. JF si tena forum where we dare, imekuwa kama jamvi la Lumumba sycophants!
Labda ule mtambo wa kichina wa kutimiza ndoto ya mkulu umeanza kazi, si unakumbuka alisema anaomba malaika wa kufunga mitambo ashuke!! JF maudhi tu sasa
 
DC mpya wa wilaya ya Ikungi mkoani Singida Mwl. Fikiri Avias Saidi uteuzi wake umetenguliwa leo, ameteuliwa ndugu Miraji Mtaturu ambae alikuwa katibu wa CCM mkoani Mwanza.

Ngoma inogile.

=========

Juni 26 mwaka huu Rais John Pombe Magufuli alitangaza kuteua Wakuu wa Wilaya zote nchini, na Wakuu wa Mkoa watatu. Kati ya Wakuu wa Wilaya 139 walioteuliwa, 39 wamebakishwa katika nafasi zao huku 100 wakiwa ni wapya.

Katika hali ya kushangaza siku moja baada ya orodha hiyo kutangazwa, Rais Magufuli ametengua uteuzi wa mkuu wa wilaya ya Ikungi iliyopo mkoani Singida. Rais Magufuli alitengua uteuzi wa Bwana Fikiri Avias Said ndani ya masaa 24 tangu uteuzi wake.

Sababu kuu ya Rais kutengua Uteuzi huu ameisema leo hii wakati wa hafla ya kuwaapisha Wakuu wote walioteuliwa, ni kwamba jina lilikosewa, na kusema kwamba Mkuu wa Wilaya halali wa Ikungi ni Bwana Miraji Mtaturu ambaye ni Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Mwanza,
Mmmh
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom