DC Kibaha umeichoka kazi yako?

DC Kibaha umeichoka kazi yako?

Kwahiyo ukiwa dereva wa gari la serekali unaweza kumpa mkeo aende nalo Saloon, maana ni lako kwa muda huo?
Tuna ongelea kuhusu kiti🪑cha kukalia ofisini.

Tatizo unataka ku complicate mambo.

Gari na kiti havina uhusiano wowote ule.

Mbona Raisi Samia alimwachia kiti yule mwanafunzi wa sekondari akaketi.

Mbona hamkuongea?

Hili la DC kumkalisha mwanae kwenye kiti tu, ndio inawauma!!!

Punguzeni chuki kidogo.
Screenshot_20250319-085504_1.jpg
 
Tuna ongelea kuhusu kiti🪑cha kukalia ofisini.

Tatizo unataka ku complicate mambo.

Gari na kiti havina uhusiano wowote ule.

Mbona Raisi Samia alimwachia kiti yule mwanafunzi wa sekondari akaketi.

Mbona hamkuongea?

Hili la DC kumkalisha mwanae kwenye kiti tu, ndio inawauma!!!

Punguzeni chuki kidogo.
View attachment 3276194
Huyo mtoto aliyekalishwa na Samia alikuwa ni mtoto wake, ilikuwa ni ikulu?
 
Huyo mtoto aliyekalishwa na Samia alikuwa ni mtoto wake, ilikuwa ni ikulu?
Andamana basi.

Fanya maandamano kumshtaki DC kumkalisha mwanae kwenye kiti chake.

Maana mnataka ku complicate mambo.
 
Picha nimemwonyeshea kijana wangu yuko darasa la 7, kasema atamuoa huyo binti

Ngoja nianze kuweka mahali
 
Siyo sheria, utaratibu na kanuni mtoto wako kukaa kwenye kiti cha Serikali. Hicho kiti ni cha Mhe. Rais. Kwanini mtoto akalie kiti hicho. Ni wakati muafaka huyo DC atumbiuliwe.
Acha roho mbaya jamani. Sasa akitumbuliwa ndio utakaa wewe na kuwa DC?
 
Back
Top Bottom