DC Kibaha umeichoka kazi yako?

DC Kibaha umeichoka kazi yako?

Hivi hawa ma-DC huwa hawapewi mafunzo/maadili kabla ya hizi teuzi? Show off Hizi zitawaponza. Mambo yako binafsi/familia unayaletaje Kwenye ofisi za Umma?

Sioni tatizo hapo kwani hakuna maagizo huyo mtoto anayatoa. Ni picha tu lakini pia inamjenga mtoto kuelewa kumbe kusoma kwa bidii ipo siku unaweza kufika hapo. Shida ambayo sisi watanzania wengi wetu hatuna tamaduni za kuwarithisha mawazo watoto wetu kazi au shughuli tunazofanya /kuwajenga kwa mawazo au vitendo. Ni wachache sana wanaofanya hivo. Angalia wenzetu wenye asili ya kiarabu au wahindi unakuta mtoto mdogo anaanza pelekwa dukani kujifunza biashara akikua anakabidhiwa. Sasa hata hawa wenzetu viongozi kama huyu anaonekana anamjenga mwanae taratibu na hawa wakikuwa unakuta tayari wanamaarifa. Tuwajenge watoto wetu pale tulipo lakini pia watambue nini tunafanya. Sawa pengine yeye kaona fursa kwake kama DC mwanae afahamu nini kama baba anachofanya.Najua wengi tunatamani watoto wetu waje kuwa viongozi basi tusikate tamaa tukae nao na kuwapa stori za viongozi bora waliowahi kuwepo nchini.
 
Sioni tatizo hapo kwani hakuna maagizo huyo mtoto anayatoa. Ni picha tu lakini pia inamjenga mtoto kuelewa kumbe kusoma kwa bidii ipo siku unaweza kufika hapo. Shida ambayo sisi watanzania wengi wetu hatuna tamaduni za kuwarithisha mawazo watoto wetu kazi au shughuli tunazofanya /kuwajenga kwa mawazo au vitendo. Ni wachache sana wanaofanya hivo. Angalia wenzetu wenye asili ya kiarabu au wahindi unakuta mtoto mdogo anaanza pelekwa dukani kujifunza biashara akikua anakabidhiwa. Sasa hata hawa wenzetu viongozi kama huyu anaonekana anamjenga mwanae taratibu na hawa wakikuwa unakuta tayari wanamaarifa. Tuwajenge watoto wetu pale tulipo lakini pia watambue nini tunafanya. Sawa pengine yeye kaona fursa kwake kama DC mwanae afahamu nini kama baba anachofanya.Najua wengi tunatamani watoto wetu waje kuwa viongozi basi tusikate tamaa tukae nao na kuwapa stori za viongozi bora waliowahi kuwepo nchini.
Unamjenga mtoto awe DC?
 
Mbona umeshataja tofauti yao rangi na utajiri
Kwa hiyo ili huyo mtoto akae hapo Kwa haki Baba yake awe mzungu na mwenye pesa??

Brain washing ni moja Kati ya madhara makubwa saana aliyo yaacha mkoloni
 
Kiti kinawakilisha mamlaka, Baba anamkasimisha Mamlaka mtoto?
Kule Tanga, Raisi Samia alivyompisha kiti yule mwanafunzi wa sekondari ya Magila napo utasema ni kumpa mamlaka?

Sometimes punguzeni chuki na wivu.

Ninyi mmezoea kuwakalisha watoto wenu kwenye makuti ya minazi 🌴🌴shambani.
Screenshot_20250319-085504_1.jpg
 
Watanzania wengi washazoea kukalisha watoto wao kwenye makuti ya minazi 🌴 🌴 mashambani hukoooo!!

Ndio maana wakiona watoto wakishua wanakalia viti vyenye hadhi, yanakuja hapa kufura mihasira.

Wewe kama baba yako alikukalisha kwenye ngozi ya ng'ombe, pambana wanao waje wakalie kiti cha ofisi yako.

Sio kuleta wivu na chuki zako hapa JF.
 
Wivuuuuu!!

Punguza wivu na chuki.

Na wewe pambana mwanao akakae kwenye ofisi yako.

Wewe kama ulikalishwa kwenye makuti ya minazi 🌴, Pambana mwanao aje akalie kiti cha ofisi yako.
Kwani huyo DC hiyo ni ofisi yake?
 
Siyo sheria, utaratibu na kanuni mtoto wako kukaa kwenye kiti cha Serikali. Hicho kiti ni cha Mhe. Rais. Kwanini mtoto akalie kiti hicho. Ni wakati muafaka huyo DC atumbiuliwe.
 
Siyo sheria, utaratibu na kanuni mtoto wako kukaa kwenye kiti cha Serikali. Hicho kiti ni cha Mhe. Rais. Kwanini mtoto akalie kiti hicho. Ni wakati muafaka huyo DC atumbiuliwe.
Screenshot_20250319-085504_1.jpg

Wewe kama ulikalishwa kwenye makuti ya minazi 🌴 Pambana mwanao aje akalie viti vyenye hadhi.

Chuki zako kwa DC hazisaidii kitu.
 
Hivi hawa ma-DC huwa hawapewi mafunzo/maadili kabla ya hizi teuzi? Show off Hizi zitawaponza. Mambo yako binafsi/familia unayaletaje Kwenye ofisi za Umma?

Yaani katika mambo yote wanayofanya viongozi wetu hili ndio limekukera hadi ukaamua kutumia muda wako kulianzishia uzi? Watanzania tuko so petty, very sad.
 
Siyo sheria, utaratibu na kanuni mtoto wako kukaa kwenye kiti cha Serikali. Hicho kiti ni cha Mhe. Rais. Kwanini mtoto akalie kiti hicho. Ni wakati muafaka huyo DC atumbiuliwe.
Kwani akitumbuliwa wewe inakusaidia nini mkuu? Ni chuki dhidi ya serikali na mifumo yake au kweli unataka atumbuliwe kisa kitoto hiki kimalaika kimekalia kiti cha baba yake ofisini? 😳
 
Back
Top Bottom