Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,145
- 16,218
Watakapokutana na changamoto za maisha wakianza kujitegemea ndio watakumbuka kuwa kuna mtu aliamua kukatiza elimu yake na lawama zake zitabaki kuwa tabu kwa walioamua.
Kwa primary bado wanahitaji kusikilizwa hadi wanafikia hapo changamoto ni nini? Unaweza kuta anachukulia kama jambo / mchezo wa kawaida kutokana na malezi duni anayolelewa.
Kulikuwa na watukutu miaka ya 94 tambaza na azania lkn walitumia mbinu nzuri sana ya kuwatawanyisha shule mbali mbali za boarding huko mikoani na tatizo likaisha kwa asilimia mia.
Kama wale wote wangefukuzwa leo tungeongeza taifa la wajinga. Wakati mwingine tufikiri future ya watu wetu na taifa kwa ujumla kwa ikiwa kuna njia nyepesi za kutatuwa tatizo na sio kufikiri kukomoa kiumbe ambacho kinaweza kubadilika bila kutumia nguvu kubwa.
Kwa primary bado wanahitaji kusikilizwa hadi wanafikia hapo changamoto ni nini? Unaweza kuta anachukulia kama jambo / mchezo wa kawaida kutokana na malezi duni anayolelewa.
Kulikuwa na watukutu miaka ya 94 tambaza na azania lkn walitumia mbinu nzuri sana ya kuwatawanyisha shule mbali mbali za boarding huko mikoani na tatizo likaisha kwa asilimia mia.
Kama wale wote wangefukuzwa leo tungeongeza taifa la wajinga. Wakati mwingine tufikiri future ya watu wetu na taifa kwa ujumla kwa ikiwa kuna njia nyepesi za kutatuwa tatizo na sio kufikiri kukomoa kiumbe ambacho kinaweza kubadilika bila kutumia nguvu kubwa.