CHARLES2016
JF-Expert Member
- Mar 22, 2016
- 376
- 435
Nyie ndo wazazi mnaoharibu hiki kizazi kwa kutetea uovu, watoto walioanza kushiriki huo mchezo ni lazima waondolewe shuleni ili wasiharibu watoto wengine. Swala la wapi wataenda kusoma ni jukumu la wazazi wao walioshindwa malezi. Hilo ni kosa kubwa sana la kimaadili, kuliko usubiri wapeane mimba ni bora kudhibiti tabia zao mapema.Sijawahi kuona maamuzi ya kijinga kama haya. Yaani mtoto wa primary afukuzwe shule, halafu?