Ni ushamba huo.. yaani hii inchi bado kuna watu wana mawazo primitive sana.. Akati ndo wanatakiwa wapewe elimu zaidi ili wajue kwamba walichofanya ni makosa..Sasa kuwafukuza shule ndio solution? Hii nchi ina viongozi wa ajabu sana
Chanzo cha habari ni ippmedia, wapo kumpa promo jamaa yao awe RCSasa kuwafukuza shule ndio solution? Hii nchi ina viongozi wa ajabu sana
Kweli kabisa. Hao watoto wasaidiwe. Shule hiyo ina watoto 4000. Inabidi igawanywe ziwe shule nne au tano ili waweze kuwamudu hao watoto.Ni ushamba huo.. yaani hii inchi bado kuna watu wana mawazo primitive sana.. Akati ndo wanatakiwa wapewe elimu zaidi ili wajue kwamba walichofanya ni makosa..
Huyo DC kakwepa majukumu yakeKweli kabisa. Hao watoto wasaidiwe. Shule hiyo ina watoto 4000. Inabidi igawanywe ziwe shule nne au tano ili waweze kuwamudu hao watoto.
Kwani sheria za adhabu za shule zinasemaje? Au hawa hawanaga kuwa suspended from shule kwa kipindi flani?Sasa kuwafukuza shule ndio solution? Hii nchi ina viongozi wa ajabu sana
Kwanini upime waliopigiwa kura tu?, pima wanafunzi wote wa kike tujue nani hajihusishi na huo mchezo. Kisha viongozi wakiandae kupokea matokeo/majibu😷😷😷😷😷😷😷😷😷Aidha, Gondwe ameagiza kupigwa kwa kura ya siri kwa kila darasa ili kuwabaini wanafunzi wote wanaojihusisha na vitendo hivyo na baada ya kuwabaini wafanyiwe uchunguzi wa kitabibu kuthibitisha tuhuma hizo na wakithibitika wazazi wao wapewe taarifa na hatua kali za kisheria zichukuliwe ikiwemo kuondolewa shuleni.
Mpango wetu ni kila mtoto amalize sekondari, ukimfukuza unampeleka wapiHivi mtu akifukuzwa shule primary ndo inakuaje
Atafukuza wangapi, vitoto vingi vimeharibika. Angehangaika na somo la maadili kuanzia walezi hadi waalim.Sasa kuwafukuza shule ndio solution? Hii nchi ina viongozi wa ajabu sana