Mwanongwa
Senior Member
- Feb 15, 2023
- 169
- 198
Diwani wa kata ya Majengo jijini Mbeya anayejulikana kwa jina la Maulid Jamedari ,amefanikiwa kutoa zawadi kwa wanafunzi bora katika nyanja tofauti tofauti kwenye shule ya msingi Majengo.
Diwani huyo ametoa zawadi kwa wanafunzi kama vile Madaftari,Pen na kalamu kwa wanafunzi waliofanya vizuri Darasani,Nidhamu,Michezo,Uongozi bora,usafi pamoja na kuwahi shuleni.
kwa upande wa walimu ametoa vyeti vya pongezi kwa msaada mkubwa wanaochangia kwenye kuimarisha elimu katika shule ya msingi majengo
Pia tuzo za diwani zinategemea kuanza kwa wananchi moja kwa moja kwa atakayeboresha mazingira bora ya nyumba yake na kutunza mazingira kwenye eneo lake kupata zawadi nono.
View attachment 2836891
Diwani huyo ametoa zawadi kwa wanafunzi kama vile Madaftari,Pen na kalamu kwa wanafunzi waliofanya vizuri Darasani,Nidhamu,Michezo,Uongozi bora,usafi pamoja na kuwahi shuleni.
kwa upande wa walimu ametoa vyeti vya pongezi kwa msaada mkubwa wanaochangia kwenye kuimarisha elimu katika shule ya msingi majengo
Pia tuzo za diwani zinategemea kuanza kwa wananchi moja kwa moja kwa atakayeboresha mazingira bora ya nyumba yake na kutunza mazingira kwenye eneo lake kupata zawadi nono.