Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
Wewe Bibi uko fresh?
Saaanaaaa, nimekumiss tuu.
Siku ukiwa na nafasi twende kwa Baba Taibali tukanywe SunVita...
Wewe Bibi uko fresh?
Maelezo yao huwa yamenyooka hayana kona. Rahisi kuwaelewaWatu wema pia hupotea...
Nimewai sana
Vijana mnafurahisha kwa kweli
Ataanzaje kuchomoa hata ukitaka mda huo kupga ukimwita ghetto hakatai
Well kuna sehemu umesema hii strategies inakupa mafanikio 95 percent?
well hii ndo point yangu
unapokuwa unataka mwanamke usiwe obsessed kuwa lazima ufanikiwe
let it flow naturally hata kama hutafanikiwwa
Ataanzaje kuchomoa hata ukitaka mda huo kupga ukimwita ghetto hakatai
Kuna mdau mmoja hapo juu anasema kwake it worked eti cha msingi ni umfanye dada acheke.Mimi hapana.
Hahahaa.!!
Hapa naamini unazungumza na wale ndugu zake Kiduku, maana huyo mtanzania wa huku duniani hizo laki mbili ambazo ndo mshahara wake anaanzaje kuzichezea hivyo mkuu??
upoteze 100k, pia unaingia risk ya kupoteza 200k yote sababu anaweza kuihamisha muda huo huo, kwa ajili ya kukwepa kuulizwa namba yangu umeitoa wapi? ok, tu assume umefanikiwa kama ulivyosema anaweza akakukataa na akakupiga block na tayari umepoteza 100k.
Namba umetoa wapi??Inasikitisha kuona mpaka karne hii kuna watu wanatumia akili nyingi kuwapata wanawake,
Wew mwambie Nataka nikutoe Dinner or Lunch kuna vitu nahitaji kuongea na wew,Mpaka hapo mwanamke anakuwa ashakuona wew ni Gentleman, Asilimia kubwa lzm akuelewe.
Ha ha ha biashara za instaiyo laki 2 Mkuu, vifaranga vya kuku wa nyama kila kifaranga 1500 vifaranga 20 inakua 1500x30=45000,pesa inayobaki nanunua chakula cha kuku na kujenga banda ujasiliamali unaanzia hapo Boss tusishindane na papuchi siku ya kufa nyani hali wali mkavu
Hahaha, haya mkuu.95% success rate
Duh una majibu yana akili sana



Bado aisee kupoteze 100k kisa kujuana na Nyampuu ni ushambaa...Ushamba ni kutojua level yako. Hio 200k ni mfano, unaweza kuamua hata 10k kama ndio level yakoBado aisee kupoteze 100k kisa kujuana na Nyampuu ni ushambaa...
Eeeh labda useme hapa kidogooo...!!Ushamba ni kutojua level yako. Hio 200k ni mfano, unaweza kuamua hata 10k kama ndio level yako


Hakuna cha level.. 5k tu inatosha