Mtoto wangu miaka(4) alipatwa na homa mwaka Juzi 2021 mwez wa 11. Joto ilikuwa juu sana mpaka ikamsababishia dalili za degedege kutokwa na povu mdogo.
Tulimpa Panadol kushusha homa na kumkimbiza hospitali ikaonekana ana infection kwenye damu akapatiwa dawa akapona. Mwezi ulioisha tena alipata kihoma fulani joto likapanda ikamtokea tena hii kitu. Je shida nini
Tatizo limejirudia mwez ulioisha Jan 2022 ni kama mwaka umeisha sasa hajapatwa na tatizo kama hilo tena.
Dawa gani nitumie asipatwe na hili tatizo...
Tulimpa Panadol kushusha homa na kumkimbiza hospitali ikaonekana ana infection kwenye damu akapatiwa dawa akapona. Mwezi ulioisha tena alipata kihoma fulani joto likapanda ikamtokea tena hii kitu. Je shida nini
Tatizo limejirudia mwez ulioisha Jan 2022 ni kama mwaka umeisha sasa hajapatwa na tatizo kama hilo tena.
Dawa gani nitumie asipatwe na hili tatizo...