Dawa Ya Kiranja Mnoko Shuleni

Dawa Ya Kiranja Mnoko Shuleni

Umenikumbusha sisi tulikuwa tunaanika pilau kwa jua (pilau halichachi), uporo wa ndizi na wali ulikuwa unaliwa hivyo hivyo bila kupaswa; ilmradi chai ni ya moto.
Ohh dadangu ilikuwa wapi na when? ee mlipitia mengi! cku hizi Neema..
 
duh!! kumbe i 'dodged a bullet' nilivyokataa boarding school.

hahaha...kaka mimi nimesoma boarding school kwa miaka sita...bahati nzuri zilikuwa ni shule nzuri kidogo...lakini vituko vituko kama hivi vilikuwa havikosekani!!!
 
hahaha...kaka mimi nimesoma boarding school kwa miaka sita...bahati nzuri zilikuwa ni shule nzuri kidogo...lakini vituko vituko kama hivi vilikuwa havikosekani!!!
mie boarding yangu ilikuwa pale UDSM engineering
 
Hiyo Mazengo Complex nini!? nakumbuka watu walikuwa hawaoni hatari kukuvunjia kabati (rocker) ili tu watambae na kiporo chako cha wali beans!! duuh, kitambo sana
 
Mimi nilikuwa naipenda zaidi ile ya kuchemsha mahindi kwa heater...!
Heater yenyewe ukiuliza unakuta ni vijiko, kuna siku almanusura bweni liungue moto kutokana na mchezo huu.

Na huo wali (tulikuwa tunauita KITEI) tulikuwa tunaupiga siku jumanne pekee usiku. Siku hiyo ikifika, jioni utaona watu wanaandaa mabakuli makubwaa yenye mifuniko (tulikuwa tunayaita MAKAYMBA) kwa ajili ya kuhifadhia kiporo (HALF LIFE) kikibaki. Na huo wali wenyewe ilikuwa ukila lazima usinzie. Hata prepo kwa siku za jumanne ilikuwa ni nadra kuwakuta watu wakijisomea, wali tulikuwa tunauita jina jingine "Seizing Agent.". Remember sana those days..!
 
khaaa usinikumbushe...sisi wapishi wetu walikuwa waovyo sana wali mbichi ...mafuta ya taa kibao ....nilikuwa nakonda mimi...mi napenda chakula kitamu kwa kweli...nilishindwa kabisa..plus kulikuwa hakuna cha canteen wala nini ...nilikomaje
 
mie boarding yangu ilikuwa pale UDSM engineering

Hahaha unfortunately sijasoma UDSM...ila maisha ya College ni tofauti na ile suluba ya boarding kaka...
 
Na huo wali (tulikuwa tunauita KITEI) tulikuwa tunaupiga siku jumanne pekee usiku. Siku hiyo ikifika, jioni utaona watu wanaandaa mabakuli makubwaa yenye mifuniko (tulikuwa tunayaita MAKAYMBA) kwa ajili ya kuhifadhia kiporo (HALF LIFE) kikibaki. Na huo wali wenyewe ilikuwa ukila lazima usinzie. Hata prepo kwa siku za jumanne ilikuwa ni nadra kuwakuta watu wakijisomea, wali tulikuwa tunauita jina jingine "Seizing Agent.". Remember sana those days..!

Kwa hii lugha uliyoitumia hapa sina shaka hata kidogo wewe utakuwa raia wa Ilboru...ila ndio sijui utakuwa ulimaliza lini

Mimi nilikuwa naipenda zaidi ile ya kuchemsha mahindi kwa heater...!
Heater yenyewe ukiuliza unakuta ni vijiko, kuna siku almanusura bweni liungue moto kutokana na mchezo huu.

Mlitaka uunguza bweni gani Rungwe, Oldonyo, Mawenzi, Meru, Kibo, Hanang au Kilimanjaro?
 
Hii ilikuwa kila shule, mafuta ya taa yalikuwa yanapunguza munkari wa ngono...
wapi tena siku za mafuta ya taa ndo watu walikuwa wanasagana balaa....usipime kabisaa
 
Wa Iyunga njooni muweke wazi mambo humu jamvini miaka ya seventies ...teh teh...
 
Kwa hii lugha uliyoitumia hapa sina shaka hata kidogo wewe utakuwa raia wa Ilboru...ila ndio sijui utakuwa ulimaliza lini



Mlitaka uunguza bweni gani Rungwe, Oldonyo, Mawenzi, Meru, Kibo, Hanang au Kilimanjaro?

Haahahaa....! Ilikuwa meru ndio lililokoswakoswa. Mkuu na wewe ulipita kipande hiyo nini.?
 
Sijui kama hawa watoto wetu wa ENGLISH MEDIUM hii kitu wataiweza kwani ni bonge la adaptation". Haya maisha ndiyo yaliyotufanya tuwe SUGU katika kupambana na maisha bila kukata tamaa. In essence hii ilikuwa INCENTIVE ya kutufikisha hapa tulipo!!!
 
Haahahaa....! Ilikuwa meru ndio lililokoswakoswa. Mkuu na wewe ulipita kipande hiyo nini.?

Hahaha...nilijua tu kama sio Meru basi ni Kibo maana enzi zetu hayo ndio yalikuwa mabweni sugu kuchemsha maji kwa heater vimeo halafu zinafichwa darini...

Nimepita hapo kaka, Rungwe, Mawenzi na Hanang ndio yalikuwa mabweni yangu kwa nyakati tofauti...ila ni kitambo kidogo!!!
 
Hahaha...nilijua tu kama sio Meru basi ni Kibo maana enzi zetu hayo ndio yalikuwa mabweni sugu kuchemsha maji kwa heater vimeo halafu zinafichwa darini...

Nimepita hapo kaka, Rungwe, Mawenzi na Hanang ndio yalikuwa mabweni yangu kwa nyakati tofauti...ila ni kitambo kidogo!!!

Hahaaha..! Mimi nimemaliza hapo 2004.
 
wakati nasoma kuna mmoja aliwahi kumwagiwa kinyesi kilichochotwa kwenye chamber tena alikikua kiranja mkuu mnoka kama nyapara


Hii naona inafanana ya Caigo miaka ya 2002 dom 14 kama sikosei kumhusu mchicha. Kama ndiyo umenikumbusha mbali sana mkuu.
 
Back
Top Bottom