Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,303
Kama hukusoma boarding umemisi vtu vngi
Good riddance
Kama hukusoma boarding umemisi vtu vngi
Mpwa unakumbuka hekaheka za Mwl Mpande...sijui kama alikuwepo time unasoma
mwanangu shule yake ya pili (primary) aliniambia shuleni wanakula vizuri kuliko ninavyompikia; can u imagine?
Ya sasa hivi ni miwali tu daily, hadi unamuonea huruma akija anavyogombea ugali.
Hahahahaha yule mticha ni noma.... Alikuwa mwalimu wa vijana na michezo. Mikwala balaa!
Mkuu ulibukua pale? Bila shaka utakuwa hujaisahau ochard kama ulibukua pale.
Hahaha hapana mpwa sikubukua pale ila wakati nipo Arusha kule mlimani tulikuwa tunaenda kucheza mpira hapo Tech...jamaa zangu ndio wakanipigia story yake
Kuchoma mzinga wake.........very sad
![]()
shuleni kwetu aliwekewa
----- usiku. Imagine umetoka kuoga-bila kujifuta-halafu unajilaza katika
shuka iliyojazwa PODA ya -----! Adhabu ya kutisha aliyotoa Headmaster
ilinikumba japo sikuhusika katika njama hiyo (nilitoa dose ya
------viberiti viwili-bila kujua vinaenda kutumika wapi)
Duuu kwa ukali wote huo kaunga ,wamekuzalisha,hongera