Dawa Ya Kiranja Mnoko Shuleni

Dawa Ya Kiranja Mnoko Shuleni

Sasa wikendi imeanza kwa furaha sana baada ya kuona hii kitu
 
kaka mkubwa kiporo kilikuwa kinawekwa kwenye zile sahani za aluminium (maarufu sana kambi za jeshi)...
ila pia kwa tranka kama hilo tulikuwa tunachemsha supu ya kuku...(kuku wanaibwa kwenye miradi ya shule).

Watu8 hii ilikuwa siyo kupasha sasa; nadhani ulikuwa unapikia darasa Zima!!! Maana hiyo SANDUKU kwa size yake kakiporo ka mtu mmoja lazima kaungulie tuuu
 
mhhhh!! mdogo wangu tells me kwao wanapata heavy meals. ngoja akirudi likizo ntamuuliza exact menu yao. they even get to watch soccer leagues
 
hahah...mlikuwa mnakula hadi pilau?...sisi hicho chakula hadi graduuu...

siku za sikukuu mostly hasa Idd ndizo silizokuwa zinatukuta shuleni, of course na graduuu
 
mhhhh!! mdogo wangu tells me kwao wanapata heavy meals. ngoja akirudi likizo ntamuuliza exact menu yao. they even get to watch soccer leagues

mwanangu shule yake ya pili (primary) aliniambia shuleni wanakula vizuri kuliko ninavyompikia; can u imagine?
Ya sasa hivi ni miwali tu daily, hadi unamuonea huruma akija anavyogombea ugali.
 
Umenikumbusha sisi tulikuwa tunaanika pilau kwa jua (pilau halichachi), uporo wa ndizi na wali ulikuwa unaliwa hivyo hivyo bila kupaswa; ilmradi chai ni ya moto.

Dah..! mmesoma kwa anasa nyie... hadi pilau!?? nakumbuka Rungwe sec. wali ulíkuwa unaliwa jumanne jioni tu... unakuta kitu kimepigwa mawese hadi sio vizuri...
 
Dah..! mmesoma kwa anasa nyie... hadi pilau!?? nakumbuka Rungwe sec. wali ulíkuwa unaliwa jumanne jioni tu... unakuta kitu kimepigwa mawese hadi sio vizuri...

pilau siku za siku kuu tu wewe, ila matoke ndiyo ilikuwa mara 2 kwa week (Bukoba hiyo)
 
Kiranja wetu tulimtilia ----- kitandani kwake ; alilia usiku kucha ikabidi alazwe hospitali!!!
 
Nashukuru sikuwahi kusoma hizo zinazoitwa boarding schools

Nini hiyo? ....
 
kufuli la nini sasa? au kuna wadokozi wa mboga jikoni?
 
Hicho kiporo kikiiva inabidi mkitoe kwenye hilo Trank, nakumbuka kulikuwa kunamchezo shuleni kipindi hicho ukijidai kuficha msosi kwenye hiyo kitu ukitoka tu watu wanakuja kukufanyia uhuni, linageuzwa upside down halafu linatingishwa sana kisha linarudishwa vilevile ukija baada na njaa zako ukifungua uniform,nguo za kawaida na madaftari yote yamejaa viporo tu na mchuzi wa chukuchuku.
 
kufuli la nini sasa? au kuna wadokozi wa mboga jikoni?

Hahaha hiyo ni abiria chunga mzigo wako...boarding school za wakati wetu watu tulikuwa tunaibiana hadi miswaki, sasa piga picha mtu akute unapasha pilau kihasara hasara
 
Nashukuru sikuwahi kusoma hizo zinazoitwa boarding schools

Nini hiyo? ....

Hiyo ni "tranka" kazi yake ni kuhifadhia nguo na vifaa vingine vya mwanafunzi...
 
Hahaha hiyo ni abiria chunga mzigo wako...boarding school za wakati wetu watu tulikuwa tunaibiana hadi miswaki, sasa piga picha mtu akute unapasha pilau kihasara hasara
mkishaiba hiyo miswaki, mnaitumia au mnauza?? who buys used toothbrushes?
 
Ole wako ufiche kwenye ROCKER afu masela wajue , "umekwisha". Kama kuna mchuchuzi watalitikisa na kuliviringisha hadi nguo zote zipendeze.
 
Back
Top Bottom