Dawa Ya Kiranja Mnoko Shuleni

Dawa Ya Kiranja Mnoko Shuleni

Safari_ni_Safari

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2007
Posts
23,265
Reaction score
17,134
Kuchoma mzinga wake.........very sad

03++Wildness+Safaris+Tanzania+Selous+Game+Reserve.JPG
 
Sisi ilikua tunauchukua mzinga alafu unachekechwa, sukari inajichanganya na blue band, madaftari yanajimix na mafuta yakujipaka, nguo zote zinakua rangi moja. Lazima aombe kuachia ukiranja mkuu. Chezea tranka ww!
 
Haaaaahaaaaahaaaa hapo mnakuwa mmemweza,ila sasa nahisi unoko ndo utazidi,maanake atafura ili kurevenge.we MOLE em njoo huku uone dawa ya kiranja mnoko.
 
Last edited by a moderator:
Hahaha.. Duh.. nyie rafiki zangu noma kweli..! Hawo Viranja walipata tabu sana i guess..!! :glasses-nerdy:
 
Umenikumbusha sisi tulikuwa tunaanika pilau kwa jua (pilau halichachi), uporo wa ndizi na wali ulikuwa unaliwa hivyo hivyo bila kupaswa; ilmradi chai ni ya moto.

hahah...mlikuwa mnakula hadi pilau?...sisi hicho chakula hadi graduuu...
 
Watu8 hii ilikuwa siyo kupasha sasa; nadhani ulikuwa unapikia darasa Zima!!! Maana hiyo SANDUKU kwa size yake kakiporo ka mtu mmoja lazima kaungulie tuuu
 
Back
Top Bottom