Dawa ya kiburi!!

Dawa ya kiburi!!

Mdau Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2009
Posts
235
Reaction score
47
Jamaa mmoja alioa mke mara siku moja mkewe akamwambia kuwa bomba lao la maji limepasuaka,jamaa akamjibu 'umeona me fundi bomba?',mkewe akawa mpole,haikupita wiki 1 mkewe akamwambia kuwa ukuta wa nyumba yao umebomoka ,jamaa akamjibu 'umesikia me fundi ujenzi'.
Baada ya wiki moja jamaa akashangaa kukuta bomba na ukuta vimekarabatiwa,akamuuliza mkewe imekuwaje?
Mkewe:-nimemleta fundi akarabati ila akasema anataka chapati au penzi ndo atengeneze.
Jamaa:- eehee umempa chapati za shilingi ngapi?
Mkewe:- 'umesikia me mpishi wa chapati?'.
Jamaa akazimia kuckia hvyo!
 
Hapa ofkozi infakti ngono sio penzi lilichukua mkondo wake.
 
Mwaga mboga, namwaga ugali na kuosha vyombo,na kuzima moto,lol!
 
Back
Top Bottom