Stephano Shahidi
Member
- May 28, 2023
- 55
- 63
Wadau nipeni mix ya dawa za kumvuta mke ambae yuko mbali na hataki kurudi
Mpende akupendae asiekupenda achana naeWadau nipeni mix ya dawa za kumvuta mke ambae yuko mbali na hataki kurudi
Duuh nchi ngumu hii.Wadau nipeni mix ya dawa za kumvuta mke ambae yuko mbali na hataki kurudi
Duuh nchi ngumu hii.
Unstaka kuishi na MZIMU usiokupenda?
Wewe una ulemavu gani?
Tafuta mwingine
atakua mjinga wa mwishoMfuate alipo
Aloo hii ni nini mkuu?mwekee karanga za mayai na nywele kwenye chungu au mboga hata kaa akuche mzee.
unazichanganya tu vizuri ukishindwa tafuta mganga aliye karibu akusaidie kuzichanganyaAloo hii ni nini mkuu?
Sio mambo yangu mkuu ila wenyewe nadhan wamekupataunazichanganya tu vizuri ukishindwa tafuta mganga aliye karibu akusaidie kuzichanganya
Ameshaoata mtu wa kumsugua huko. Unalazimisha nini? Achana nae endelea na maisha yako. Huu sio wakati wa kuwalamba miguu wanawake.Wadau nipeni mix ya dawa za kumvuta mke ambae yuko mbali na hataki kurudi