Stephano Shahidi
Member
- May 28, 2023
- 55
- 63
Hv ni kwel kwa waendao kwa wagang kuna dawa mix full ya kumvuta mpenz kwa harak?
Kama kwel ajuae atujuze! Maana weng waongo.
Kama kwel ajuae atujuze! Maana weng waongo.
Ngoja waje wahusikaHv ni kwel kwa waendao kwa wagang kuna dawa mix full ya kumvuta mpenz kwa harak?
Kama kwel ajuae atujuze! Maana weng waongo.
Kama hakupendi achana nae tu. Ya nini kuteseka kwa waganga na mtu hakupend?Hv ni kwel kwa waendao kwa wagang kuna dawa mix full ya kumvuta mpenz kwa harak?
Kama kwel ajuae atujuze! Maana weng waongo.
😀😀Watu wamechoka😂😂😂😂😂😂
Mkuu kulikoni?
Hawafanyi delivery? 😂😂Nikupe ramani nanjilinji nasikia kunawaganga konk 😂😂😂
Delivery ipo😀😀😀Hawafanyi delivery? 😂😂
Dawa zipo ila zina madhara makubwaHv ni kwel kwa waendao kwa wagang kuna dawa mix full ya kumvuta mpenz kwa harak?
Kama kwel ajuae atujuze! Maana weng waongo.
We Tapeli unatafuta hela ya Ndumu naona🤣😀nipo apa unapatkana wapi nkufanyie dawa unapata mrembo untakae ila kuna ghrama kidog utalipia
Nipe connection😂😂Delivery ipo😀😀😀
Wewe sijakuchoka bali nimechoka kukubembeleza 😂Hakika umenichoka🤣