Naomba nichanganue mchanganyiko wako kutokana na uelewa wangu....
KAZI YA KILA KIUNGO
1. Kitunguu - kuongeza blood pressure na kufanya misuli kugangamala.
2. Asali - hufanya mwili kuwa na nguvu ni glucose, huondoa uchovu na kukufanya kuwa na nguvu.
3. Moto wa Mksa - kuharakisha reaction.
4. Mkate ni kama kichanganyio tu hauna faida yeyote...
These are too common things in our life tatzo mnapenda chips.
LAST BUT NOT LEAST
Matthew 10:28
"Do not fear those who kill the body but are unable to kill the soul; but rather fear Him who is able to destroy both soul and body in hell.