Ze burner
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 514
- 84
Siongei sana coz ratio ni maarufu kwa walio wengi . Nazungumzia tatizo last nguvu za kiume. Iwapo unataka kuongeza geji AU km uliishiwa kabisa mafuta fanya kifuatacho and nakuhakikishia kwa uwezo wake Muumba it works like a charm !
1. Kitunguu maji
2. Asali
3.mkate
4. Moto wa mksa
Chukua kitunguu maji kichome kama unachoma kiazi. Kikiwiva vzr kikate small slices km unatengeneza kachumbari. Chukua slice ya mkate na nyunyiza asali safi OG then panga vitunguu vyako kadiri utakavyo. Ones asali juu yake then funika na slice nyengine ya mkate. Kula kama unakula burger.
Ukiona aibu mkeo kujua unachofanya mwambie hiyo ni onion burger.
Kula anion burger yako 2× a day× seven days.
Plz usisahau kushare majibu
1. Kitunguu maji
2. Asali
3.mkate
4. Moto wa mksa
Chukua kitunguu maji kichome kama unachoma kiazi. Kikiwiva vzr kikate small slices km unatengeneza kachumbari. Chukua slice ya mkate na nyunyiza asali safi OG then panga vitunguu vyako kadiri utakavyo. Ones asali juu yake then funika na slice nyengine ya mkate. Kula kama unakula burger.
Ukiona aibu mkeo kujua unachofanya mwambie hiyo ni onion burger.
Kula anion burger yako 2× a day× seven days.
Plz usisahau kushare majibu