PAKASHUME JOHN
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 292
- 314
Ukividekeza imekula kwako kisaikoljiaAisee hivi vidude vinanitesa nimekunywa kila aina ya matakataka ya dawa za hospitalini na tiba mbadala lakini bado vinanisumbua, angalau kidogo dawa zinaitwa legal kit zinisaidia lakini zingine ni kama natupa hela na kutesa tumbo kwa madawa
Na ni bora vingekuwa vinasumbua tumboni lakini mimi vinanitesa zaidi kwa maumivu ya vichomi mgongoni na kifuani upande wa moyo yaani hata kukohoa kucheka au kutikisa mkono wa kushoto ni maumivu makali sana