laolao
New Member
- Oct 6, 2021
- 3
- 15
Habari wakati huu wadau. Nmekua na tatizo la vidonda vya tumbo ambayo hua vinakuja na kuondoka baada ya mda. Mara zote hua natumia dawa ya Omeprazole pamoja na dawa za kutuliza maumivu na antibiotics.
Naona kipindi hichi imenirudia tena na nmetumia dawa kama awali lakini naona kupona kunaenda taratibu na leo ni siku kama ya 4 tangu vinibane.
Kama kuna mdau/mtaalamu ambaye anafanhamu dawa nzuri zaidi au mbadala nijaribu. Nitashukuru kwa mrejesho wenu.
Naona kipindi hichi imenirudia tena na nmetumia dawa kama awali lakini naona kupona kunaenda taratibu na leo ni siku kama ya 4 tangu vinibane.
Kama kuna mdau/mtaalamu ambaye anafanhamu dawa nzuri zaidi au mbadala nijaribu. Nitashukuru kwa mrejesho wenu.