David Mataka wa ATCL, ahukumiwa kulipa faini Tsh milioni 8 kwa kulisababishia hasara ya Tsh Bilioni 71 shirika

Tumia akili.

Ishu sio kuiba ishu ni umeibaje.

Apply commonsense ya kawaida tu

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Huelewi chochote kuhusu sheria kwahiyo usinifundishe chochote hapa.

Kwa hiyo kuna aina ya wizi ina ahueni? Kitendo cha wizi wa shilingi bilioni nane inatofauti gani na wizi wa simu au kitarakishi mpakato chenye thamani ya shilingi laki tatu/milioni mbili?

Wizi ni wizi tu maana unagusa dhamira ovu ya kuchukua mali ya mtu mwingine, yenye thamani, inayoweza kuhamishika na kuondoka nayo moja kwa moja pasipo kuwa na nia ya kurejesha kwa mmiliki wake (Uthibitisho wa NIA na DHAMIRA OVU) kuna fanya kosa kuwa sawa sio kama unavyotaka kuaminisha watu kwamba njia iliyotumika ilikuwa na sura gani!!!
 
Huelewi chochote kuhusu sheria kwahiyo usinifundishe chochote hapa.

Kwa hiyo kuna aina ya wizi ina ahueni? Kitendo cha wizi wa shilingi bilioni nane inatofauti gani na wizi wa simu au kitarakishi mpakato chenye thamani ya shilingi laki tatu/milioni mbili? Wizi ni wizi tu maana unagusa dhamira ovu ya kuchukua mali ya mtu mwingine...
Ficha wehu wako.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Dar es Salaam.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), David Mattaka kulipa faini ya Sh8 milioni au kutumikia kifungo cha miaka minne jela baada ya kupatikana na hati ya makosa manne yaliyokuwa yakimkabili.

Mattaka amekutwa na hatia ya matumizi mabaya ya madaraka, matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia hasara Serikali ya Sh71 bilioni

Mbali na Mataka, washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni aliyekuwa Ofisa Mtendaji Mkuu mstaafu, Dk Ramadhan Mlinga na aliyekuwa Mwanasheria wa PPRA , Bertha Soka, ambao wamehukumiwa kulipa faini ya Sh2 milioni kila moja au kwenda jela mwaka mmoja ,baada ya kupatikana na hatia ya katika shtaka moja la kughushi mhutasari wa kikao

Uamuzi huo umetolewa leo, Agosti 20, 2021 na Hakimu Mkazi Mkuu, Janeth Mtega wakati kesi hiyo ilipoitwa kwa ajili hukumu.
 
Nahisi alishaambiwa hukumu itakuwa nini kwahiyo alikuwa amejichukulia milioni yake nane mfukoni akalipa pale pale baada ya hukumu kutoka. Kwa mfumo tulio nao nchi yetu haitakuwa na maendeleo yoyote hata baada ya miaka 100 ijayo!
 
Unakusanya Bil 48 kwa tozoo mtu anaiba Bil 100 alafu serikali inamuhukumu kulipa faini ya Mil 8.??? Ilaa hii nchi sio tu kuchezewa ila tushafanywa mazezeta... Huyu Mama watampanda sana kichwani yani..
 
MAElFFr.jpg
 
Bosi wa zamani wa ATCL David Mataka amehukumiwa kwenda jela miaka minne ama kulipa faini ya Sh milioni 8 baada ya kukutwa na hatia ya matumizi mabaya ya ofisi na kusababishia shirika hasara ya Sh bilioni 100.

Kuna uzi nilicomment " Adhabu wanazopata wabakaji ingekuwa zinawapata na mafisadi ingekuwa poa sana"
 
Kama walishamfanyia confiscation ya baadhi mali zilizotokana na hasara aliyotia hiyo inaweza kuwa adhabu

Vinginevyo hayo ni masihara
Halafu wanasheri wanajiita WASOMI, PUMBAVU ZAO WANASHERIA WOTE WANAOSIMAMIA SHERIA HIZI
 
..Sheria za kisen.ge Sana nchi hii....jitu limeiba mabilioni linaambiwa lilipe milioni 8...hivi ndivyo maccm yanavyosaidiana..wakati wamewanambika kesi kina mbowe Ile ya kulipishwa mamilioni Kwa makosa ambayo hawakufanya...hii nchi inatiwa laana Kwa mambo Kama haya ...ndio maana hatutoboi Kama nchi..mambo Kama haya ni mabaya Sana..
 
Eti mwigulu anasema tozo za miamala zimekwenda kujenga zahanati wakati lengo la hizi tozo ilikuwa ni kujenga barabara za vijijini
Barabara vijijini zinajengwa na tozo ya sh100 kwenye mafuta, hizi za miamala ni hospital na mashule
 
Dar es Salaam.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), David Mattaka kulipa faini ya Sh8 milioni au kutumikia kifungo cha miaka minne jela baada ya kupatikana na hati ya makosa manne yaliyokuwa yakimkabili.

Mattaka amekutwa na hatia ya matumizi mabaya ya madaraka, matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia hasara Serikali ya Sh71 bilioni

Mbali na Mataka, washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni aliyekuwa Ofisa Mtendaji Mkuu mstaafu, Dk Ramadhan Mlinga na aliyekuwa Mwanasheria wa PPRA , Bertha Soka, ambao wamehukumiwa kulipa faini ya Sh2 milioni kila moja au kwenda jela mwaka mmoja ,baada ya kupatikana na hatia ya katika shtaka moja la kughushi mhutasari wa kikao

Uamuzi huo umetolewa leo, Agosti 20, 2021 na Hakimu Mkazi Mkuu, Janeth Mtega wakati kesi hiyo ilipoitwa kwa ajili hukumu.
IMG-20210820-WA0167.jpg
 
Back
Top Bottom