Huyo Mtakka au?Jamaa stable sana. Huwa hababaishwi na wavaa vimini hata wawe na chura kilo tano
Ruge kafungwa wapi mkuu?Ruge?
Mkuu nilikuwa natafuta comment yako humuMuulize yule aliyekuwa wanaendesha nae baiskeli London ama Defao aliyezibuliwa mpaka kuumwa. Unamjua yule mchezaji wa Ureno Juan Pinto?
Kulikoni unafukua makaburiMkuu nilikuwa natafuta comment yako humu
Pinto Jumaaa
eti nyumbu chadema nzima tajiri ni Mbowe tu nyie wengine wote wachovu
Sheria za TANZANIA hukumu yako itategemea na kiasi cha pesa ulizoiba ukiiba kidogo utafungwa miaka mingi , ukiiba nyingi utalipa faini kidogo uamuzi ni wako.
View attachment 2225417
Kwa billioni 71 ni vipi usinywe kahawa na kashata na wajukuu !!! Tanzania yangu naipendaaa !!! Hasara billion 71 faini million 4 !! Safi sana !! Inafanana fanana kidogo na ya Kayumba wa B.O.T hasara billion 250 jela miaka mingapi vile ??
hii nchi ngumu sana ndio mana mazungu yanatuita nyaniChini ya CCM hakuna MAENDELEO ni kudanganyana tu
Sheria za TANZANIA hukumu yako itategemea na kiasi cha pesa ulizoiba ukiiba kidogo utafungwa miaka mingi , ukiiba nyingi utalipa faini kidogo uamuzi ni wako.
View attachment 2225417