David Kafulila kuikwaa tuzo ya Nobel

David Kafulila kuikwaa tuzo ya Nobel

tamimusalim

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
1,822
Reaction score
501
ImageUploadedByJamiiForums1415515009.451846.jpg

Kuna tetesi ambazo zinaenea ingawa bado hazijawekwa wazi kuwa mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila anaweza kuwa miongoni mwa watu watakaopata tuzo ya Nobel katikati mwakani,Kafulila ambae ameonekana na kujulikana hasa kulishikilia kidedea upotevu wa pesa katika sakata la wizi wa zaidi ya bilion200 katika sakata la ESCROW ameonesha ujasiri kupambana na jambo hilo hatari kwa manufaa ya watanzania masikini.

Mpaka sasa wahisani wamesitisha misaada ya thamani ya matrilion kwa Tanzania mpaka taalifa ya CAG itakapo toka kwa mujibu wa mfadhili wa wahisani hao balozi wa finland nchini.

Hongera Kafulila jitaidi uikwae tuzo hii kwani si mchezo
.
 
hiyo tuzo inatolewa kwa vigezo vipi?
yaani ili mtu atunukiwe anatakiwa awe na sifa zipi?
 
hiyo tuzo inatolewa kwa vigezo vipi?
yaani ili mtu atunukiwe anatakiwa awe na sifa zipi?
ni ujasiri katika kuamua au kutetea jambo lenye manufaa kwa walio wengi tena jambo lenye hatari
 
hivi mwanasheria wa nchi aliosema kumkata kichwa Kafulila alichukuliwa hatua gani?

Na je wananchi walichukua hatua gani?
 
Mi nadhani tuanze kwa kuwaadhibu hawa viongozi, haiwezekani mtu ni Raisi anakaa nje ya nchi karibia mwezi mzima. Yaani ndani ya siku 30 yeye 3 ndo kakaa Tanzania.
Hawa viongozi hata risasi wakipigwa itakuwa fundisho
 
chadema hapa povu litawatoka mmh..!! Jaman sio kila zuri mfanye nyie tu.
 
Mi nadhani tuanze kwa kuwaadhibu hawa viongozi, haiwezekani mtu ni Raisi anakaa nje ya nchi karibia mwezi mzima. Yaani ndani ya siku 30 yeye 3 ndo kakaa Tanzania.
Hawa viongozi hata risasi wakipigwa itakuwa fundisho
mhhh !!!! Tena uko siko mkuu
 
Hii tuzo unaijua au unaisikia?
kwani upendi david kafulila aipate? Mbona malala wa pakistani bint wa miaka 17 aliipata bahada ya kuonyesha ujasiri,hii hata wewe unaweza kuipata mkuu
 
hiyo tuzo inatolewa kwa vigezo vipi?
yaani ili mtu atunukiwe anatakiwa awe na sifa zipi?

tuzo hiyo hutolewa kwa mtu ambaye amejitolea uhai wake kutetea rasilimali za umma, na hiyo sifa kafulila anayo. wewe unadhani ni nani anastahili kupata hiyo tuzo? je, ni chenge, 6 au werema?
 
chadema hapa povu litawatoka mmh..!! Jaman sio kila zuri mfanye nyie tu.

hivi wewe mtoto unajitambua au unaongeleshwa? kaangalie matokeo yenu ya drs vii yametoka...bila shaka utakuwa umepata 0!
 
hivi wewe mtoto unajitambua au unaongeleshwa? kaangalie matokeo yenu ya drs vii yametoka...bila shaka utakuwa umepata 0!

ambavyo hujitambui eti mtu darasa la saba anapata 0. Hivi unajua mfumo wa matokeo ya darasa la saba unavyokuwa?? Akiri ndogo kweli kweli.
 
Back
Top Bottom