mchemsho
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 3,230
- 936
Kwa Hiyo unataka apigwe risasi?!
Pinda alishasema, kama vipi apigwe tu maana hata sisi tumeshachoka
Kwa Hiyo unataka apigwe risasi?!
Kwa Hiyo unataka apigwe risasi?!
Hivi hiyo tuzo inaambatana na hela a.k.a dolary
Pinda alishasema, kama vipi apigwe tu maana hata sisi tumeshachoka
...........Kuna tetesi pia kwamba CCM wataikwaa tuzo ya Nobel mwakani kutokana na ujasiri wao na uhodari wa kutetea wezi na mafisadi wa Escrow. Tusubirie tuone kama ni kweli ila waongeze bidii zaidi kama chama wasije kuikosa kama Chama akaipata Rais peke yake kwa kusimamia zoezi hilo kikamilifu ndani ya CCM.ni ujasiri katika kuamua au kutetea jambo lenye manufaa kwa walio wengi tena jambo lenye hatari
labda kama inatolewa kuwa wabunge wa bunge letu.anayo haki ya kupata tuzo iyo kutokana na mchango wake mbunge gani angethubutu
Gari itakuwa aina ya Nobelna gari
Afrika yote tangu inaumbwa wamepata watu 22 tu katika category ya Chemistry,Literature and peace. Hili la Kafulila sijua itakuwa category gani, ila kama atapewa Nobel basi itakuwa ya dinner set,kabati la nguo,vijiko na sahani na mgeni Rasmi atakuwa tamimusalim ndani ya ofisini ya IPTLIla kale ka tuzo si lelemama aisee,,yani hata nominee,,nitakataa aisee.
tuzo hiyo hutolewa kwa mtu ambaye amejitolea uhai wake kutetea rasilimali za umma, na hiyo sifa kafulila anayo. wewe unadhani ni nani anastahili kupata hiyo tuzo? je, ni chenge, 6 au werema?
hiyo tuzo inatolewa kwa vigezo vipi?
yaani ili mtu atunukiwe anatakiwa awe na sifa zipi?
hebu fikiri kidogo basi na uwe na staha, busara na hekima kwenye majibu yako!. Kafulila amethubutu na maisha yake kayaweka rehani kwa ajili ya watu wote wa nchi hii. Ulikuwa unajua kuwa umeibiwa kiasi hicho cha pesa? Ulichukua hatua gani? Acha wivu wa kimaskini. Na kama Afrika walishapata watu 22, kuna shida gani Kafulila akiwa wa 23?. Anastahili hiyo tuzo kwani amehatarisha maisha yake ili wengi wetu tupate nafuu ya maisha. Na ninyi mnaowatetea wezi humu hamuwatendei haki ndugu zenu wanaotaabika na kupoteza maisha kwa kukosa huduma muhimu kama madawa kwenye mahospitali yetu. Wewe ambaye shida hii haijakutembelea namwomba mungu akuonjeshe japo kidogo tu uusikie utamu wa wizi na ufisadi.Afrika yote tangu inaumbwa wamepata watu 22 tu katika category ya Chemistry,Literature and peace. Hili la Kafulila sijua itakuwa category gani, ila kama atapewa Nobel basi itakuwa ya dinner set,kabati la nguo,vijiko na sahani na mgeni Rasmi atakuwa tamimusalim ndani ya ofisini ya IPTL
Tuelewane sijabeza juhudi za mh.Kafulila ila ninabeza how kafulila apate bio tuzo kwa vigezo gani, sijakataa na wala sitakasilika iwapo atapata hio Tuzo, ila kabla sijakuunga mkono napenda unifahamishe kitu kimoja tu! Je unafahamu vigezo vya hio Nobel? Je kwa vigezo hivyo Kafulila anafit au tunajifurahisha? Je mh.Kafulila yupo kwenye category gani?hebu fikiri kidogo basi na uwe na staha, busara na hekima kwenye majibu yako!. Kafulila amethubutu na maisha yake kayaweka rehani kwa ajili ya watu wote wa nchi hii. Ulikuwa unajua kuwa umeibiwa kiasi hicho cha pesa? Ulichukua hatua gani? Acha wivu wa kimaskini. Na kama Afrika walishapata watu 22, kuna shida gani Kafulila akiwa wa 23?. Anastahili hiyo tuzo kwani amehatarisha maisha yake ili wengi wetu tupate nafuu ya maisha. Na ninyi mnaowatetea wezi humu hamuwatendei haki ndugu zenu wanaotaabika na kupoteza maisha kwa kukosa huduma muhimu kama madawa kwenye mahospitali yetu. Wewe ambaye shida hii haijakutembelea namwomba mungu akuonjeshe japo kidogo tu uusikie utamu wa wizi na ufisadi.
Tuelewane sijabeza juhudi za mh.Kafulila ila ninabeza how kafulila apate bio tuzo kwa vigezo gani, sijakataa na wala sitakasilika iwapo atapata hio Tuzo, ila kabla sijakuunga mkono napenda unifahamishe kitu kimoja tu! Je unafahamu vigezo vya hio Nobel? Je kwa vigezo hivyo Kafulila anafit au tunajifurahisha? Je mh.Kafulila yupo kwenye category gani?