Chivundu
Platinum Member
- Dec 17, 2012
- 9,907
- 14,343
Hebu muweke Kafulila katika viatu vya Nyerere, je anaweza kuwemo hata kwenye orodha? Achilia mbali kufikiria kama atapata hio tuzo.
Akaze buti utakuja ipata akifika vigezo.
Hebu muweke Kafulila katika viatu vya Nyerere, je anaweza kuwemo hata kwenye orodha? Achilia mbali kufikiria kama atapata hio tuzo.
siyo leo au kesho ila ni bado sana,tumuombee asizeeke wakati hajapata vigezoAkaze buti utakuja ipata akifika vigezo.