David Kafulila kuikwaa tuzo ya Nobel

David Kafulila kuikwaa tuzo ya Nobel

Mi nadhani tuanze kwa kuwaadhibu hawa viongozi, haiwezekani mtu ni Raisi anakaa nje ya nchi karibia mwezi mzima. Yaani ndani ya siku 30 yeye 3 ndo kakaa Tanzania.
Hawa viongozi hata risasi wakipigwa itakuwa fundisho
Kwa Hiyo unataka apigwe risasi?!
 
kwani upendi david kafulila aipate? Mbona malala wa pakistani bint wa miaka 17 aliipata bahada ya kuonyesha ujasiri,hii hata wewe unaweza kuipata mkuu


Sina tatizo na Kafulila kuipata ila ninachojua ni kazi kuipata.
 
Nobel kuipata wala si tabu ni ujasiri tu kama wa kafulila kwani amna mbunge angethubutu hili nobel ni yake kwani sakata hili lipokimataifa sasa
 
ambavyo hujitambui eti mtu darasa la saba anapata 0. Hivi unajua mfumo wa matokeo ya darasa la saba unavyokuwa?? Akiri ndogo kweli kweli.

Niambie weye uliyehitimu darasa la saba juzi....mimi nimehitimu kitambo sana, nimesahau.
 
Wewe uko ndotoni , Kafulila apewe hiyo tuzo kwa kazi ipi?
 
Mi nadhani tuanze kwa kuwaadhibu hawa viongozi, haiwezekani mtu ni Raisi anakaa nje ya nchi karibia mwezi mzima. Yaani ndani ya siku 30 yeye 3 ndo kakaa Tanzania.
Hawa viongozi hata risasi wakipigwa itakuwa fundisho
Duh, hapo mdau umekuwa mkali kupitiliza; ila nakubaliana nawe kuwa raisi wetu anakaa muda mchache sana nyumbani (Tanzania); ifike mahali awajibishwe japo kwa katiba ya sasa na ile inayopendekezwa huyu mkulu hakuna wa kumwajibisha.

Nachukua fursa hii kuwaomba wadau tuikatae katiba inayopendekezwa.
 
huyu ni adui wa maendeleo ya waTZ maana amepigia kelele upotevu wa billion 200 kasababosha tukose misaada ya zaidi ya billions 200 sasa faida iko wapi maana hao walioiba billion 200 hawarudishi na wala hawatakamatwa zaidi wananchi tutazidi kuteseka kwa kukosa misaada ya wahisani
 
huyu ni adui wa maendeleo ya waTZ maana amepigia kelele upotevu wa billion 200 kasababosha tukose misaada ya zaidi ya billions 200 sasa faida iko wapi maana hao walioiba billion 200 hawarudishi na wala hawatakamatwa zaidi wananchi tutazidi kuteseka kwa kukosa misaada ya wahisani

Waliosababisha tukose msaada ni wezi au wanaopinga wizi sasa kama wanaopinga wizi wana makosa sasa kuna faida gani na misaada kwani si itafikia mikononi mwa wezi au hayo ndiyo maendeleo unayoyataka kama ni hivyo basi na wewe ni sehemu yao kama si hivyo basi wewe ni mpumbavu
 
View attachment 200370Kuna tetesi ambazo zinaenea ingawa bado hazijawekwa wazi kuwa mbunge wa kigoma kusini david kafulila anaweza kuwa miongoni mwa watu watakaopata tuzo ya nobel katikati mwakani,kafulila ambae ameonekana na kujulikana hasa kulishikilia kidedea upotevu wa pesa katika sakata la wizi wa zaidi ya bilion200 katika sakata la esrcow ameonyesha ujasiri kupambana na jambo hilo hatari kwa manufaa ya watanzania masikini,mpaka sasa wahisani wamesitisha misaada ya thamani ya matrilion kwa tanzania mpaka tahalifa ya CAG itakapo toka kwa mujibu wa mfadhili wa wahisani hao balozi wa finland nchini. Ongera kafulila jitaidi uikwae tuzo hii kwani si mchezo

Hivi hiyo tuzo inaambatana na hela a.k.a dolary
 
Calibre ya siasa kafulila hamna mfano wake ndani ya CCM
 
huyu ni adui wa maendeleo ya waTZ maana amepigia kelele upotevu wa billion 200 kasababosha tukose misaada ya zaidi ya billions 200 sasa faida iko wapi maana hao walioiba billion 200 hawarudishi na wala hawatakamatwa zaidi wananchi tutazidi kuteseka kwa kukosa misaada ya wahisani

We binadamu?? What do start with the disease or symptoms
 
huyu ni adui wa maendeleo ya waTZ maana amepigia kelele upotevu wa billion 200 kasababosha tukose misaada ya zaidi ya billions 200 sasa faida iko wapi maana hao walioiba billion 200 hawarudishi na wala hawatakamatwa zaidi wananchi tutazidi kuteseka kwa kukosa misaada ya wahisani

kwahiyo walioiba bilion 200 ndio marafiki wa Maendeleo tz?
 
Mie nachepuka inaonekana Tansania kuna maduktari wa wanyama siyo binadamu....
 
Back
Top Bottom