Hongera tumbili
Kwanini tumbili haku chana nywele?
Yaani hakwenda hata salon
tuwekee picha ya bibi harusi akiwa amesimama... any way hongera mh "tumbiri" for pulling kitchen.
Bwana Harusi David Kafulila akiwa na msimamizi wa ndoa yake Deo Filikunjombe na marafiki zake David Silinde na Mwam.
Kweli tumbili kaoa maana hayo maua shingoni! By the way huyo tumbili kaoa tumbili pia au?Atimaye TIMBILI kaoa HONGERA TUMBILI
![]()
Wanasiasa acha tu.Kafulila alifukuzwa CHADEMA mchana kweupe.Leo kaenda oa Msichana kada wa CHADEMA rafiki yake mwenyekiti wa CHADEMA.kWA HIYO chadema ni wakwe zake na mwenyekiti wa CHADEMA ni ..... mwenzie.
Kafulila kutwa amekuwa akiiponda CCM na wabunge wake leo ndoa yake imesimamiwa na Mbunge Deo Filikunjombe wa CCM.
CCM anaita CHAMA CHA MAFISADI.Kwa hiyo mafisadi ndio waliosimamia ndoa yake
Kumbe kelele zote zile ilikuwa anatafuta mchango wa harusi IPTL
Angekuwa bado yuko CHADEMA ndoa angeisikia tu. Kule hakuna kuoa wala kuolewa.