David Kafulila anaoa leo 22/11/2014

David Kafulila anaoa leo 22/11/2014

Hivi Dr Slaa anajisikiaje wanae wakiwa wanaoa?
 
Naungana na mkuu aliesema wakipata mtoto wamwite jina la ESCROW AU IPTL. ha haa.JF raha sana!
 
Wanasema mkemwema nahisi huyu Dada amepata mume mwema aliekataa mamilioniya escrow kuingiziwa kwemye account na mudasimrefu watuwamaendakuaibika
 
Katika picha nimeona pia Mwigulu na Mzee wa Maswa wameudhuria bali Mbatia sijmwona. Halafu binti yaelekea yeye ni Chadema sasa sijui wote watahamia ACT ama vipi

Stay tuned mkuu, tutaona mwisho wake kama wataenda ACT au vipi.
 
Hongera Mh Kafulila, vipi Werema amepata kadi ya mwaliko? Au hakuchanga!
 
Ndoa ni furaha...sijui kama werema angekua na fursa ya kufunga ndoa siku kama hizi angeweza
 
I'm trying to imagine the combination of the Politician and another politician in building the family institution, hope she will be the best and honest wife u had dreamed of ....... BTW Kindly,accept my sincere congratulation brother D. Kafulila.
 
Hongera sana mkuu Kafulila david kwa kufunga ndoa takatifu na mtoto mkareee sana.

Baada ya kazi nzito ya kukamta majizi ya pesa za wananchi katika akaunti ya ESCROW, hatimaye mkuu kafulila aamua kujipongeza kwa kuvuta jiko lake la kitambo kirefu.
Ila usisahau na ile ishu yetu ya ESCROW.

Picha:
Bwana Harusi David Kafulila akiwa na msimamizi wa ndoa yake Deo Filikunjombe na marafiki zake David Silinde na Mwam
.

Tulashashe Mubhagabhogabho
 
Back
Top Bottom