Nyati
JF-Expert Member
- Mar 6, 2009
- 2,528
- 1,917
Huyu bibi harusi anaitwa kamanda Jesica David Kishoa.Ni mwanachadema mpambanaji sana.Kama unataka picha zaidi za uzuri wake ingia fb usearch hilo jina.
Katika picha nimeona pia Mwigulu na Mzee wa Maswa wameudhuria bali Mbatia sijmwona. Halafu binti yaelekea yeye ni Chadema sasa sijui wote watahamia ACT ama vipi