David Kafulila anaoa leo 22/11/2014

David Kafulila anaoa leo 22/11/2014

mwakani wakianza kampeni za uchaguzi kafulila pande hii, mke pande ile, itakuwa heka heka humo ndani!
 
Wanasiasa acha tu.Kafulila alifukuzwa CHADEMA mchana kweupe.Leo kaenda oa Msichana kada wa CHADEMA rafiki yake mwenyekiti wa CHADEMA.kWA HIYO chadema ni wakwe zake na mwenyekiti wa CHADEMA ni ..... mwenzie.
Kafulila kutwa amekuwa akiiponda CCM na wabunge wake leo ndoa yake imesimamiwa na Mbunge Deo Filikunjombe wa CCM.
CCM anaita CHAMA CHA MAFISADI.Kwa hiyo mafisadi ndio waliosimamia ndoa yake
Kumbe kelele zote zile ilikuwa anatafuta mchango wa harusi IPTL

Mkuu...hivi wewe unamjua kafulila au unaota?
 
bila kujali itikadi zetu kisiasa, bila upinzani serikali ingetuchezea na kutufisadi saaaana kuliko hali ilivyo sasa
 
MODS wako wapi kuwafungia wanaomtukana KIONGOZI wa NCHI? sababu nakumbuka walifungiwa waliokuwa wanamtukana STEPHEN WASSIRA...

Jamii Forum ni Chombo HURU na HAKI hakielemei UPANDE MMOJA TUU....
 
Back
Top Bottom