David Kafulila anaoa leo 22/11/2014

David Kafulila anaoa leo 22/11/2014

Eti nasikia harusini ilikuwa marufuku HEINKEIN wala WINDHOEK kuonekana eti kweli?
 
Hongera sana mkuu Kafulila david kwa kufunga ndoa takatifu na mtoto mkareee sana.

Baada ya kazi nzito ya kukamta majizi ya pesa za wananchi katika akaunti ya ESCROW, hatimaye mkuu kafulila aamua kujipongeza kwa kuvuta jiko lake la kitambo kirefu.
Ila usisahau na ile ishu yetu ya ESCROW.

Picha:
Bwana Harusi David Kafulila akiwa na msimamizi wa ndoa yake Deo Filikunjombe na marafiki zake David Silinde na Mwam
.
Hivi kumbe Jesca ni jiko lake la kitambo kimetulia
 
Hongera sana kamanda wetu Kafulila lakini Werema na Wassira sijawaona kulikoni
 
Mi niko CHADEMA njoo nikuchumbie, nikuoe niku.....ili kuthibitisha wapo waliooa CHADEMA. Kwamba wewe ni mwanamme si kitu mi navinjari hata msalani. Karibu nikushughlikie!

Huko Kwenu CHADEMA wanaume wanaoana?
 
swali: kafulila akibahatika kuwa rais, mkewe ataitwaje? "First Tumbili?"
 
attachment.php


Kisura huyu
Dah Tumbili kajua kuchagua. Sasa werema atamjua kama yeye ni tumbili au Rambo. Hongera mkuu.
 
MBUNGE WA KIGOMA KUSINI, [Mr. ESCROW]MHE DAVID KAFULILA NA JESSICA KISHOA WAMEREMETA MJINI UVINZA

SUNDAY, NOVEMBER 23, 2014

unnamed%2B(55).jpg

Mbunge wa Kigoma Kusini Mhe David Kafulila akiwa na mai waifu wake Jessica Kishoa wakijiandaa kukata utepe wa kuingia katika mnuso kwenye ukumbi wa Annex uliopo Uvinza, Kigoma, jana Jumamosi Novemba 22, 2014
unnamed%2B(56).jpg

Mhe David Kafulila akiwa kanisani na mai waifu wake wa Jessica Kishoa wakati wa kufunga ndoa katika kanisa la Roman Catholic katika Parokia ya uvinza, Kigoma, jana Jumamosi Novemba 22, 2014
unnamed%2B(57).jpg

Mhe David Kafulila na mai waifu wake Jessica Kishoa pamoja na wapambe wao Mhe. Deo Filikujombe na mke wake Sarah Filikunjombe wakipeleka keki kwa wazazi wa bwana harusi
unnamed%2B(60).jpg

Baadhi ya Waheshimiwa Wabunge waliopamba harusi ya Mhe. David Kafulila katika picha ya pamoja. Kutoka kushoto ni Mhe Deo Filikunjombe. Mhe.David Kafulila ambaye ndiye Bw. Harusi, Mhe Zitto Kabwe na Mhe David Silinde. Picha zote na Editha Karlo wa Globu ya Jamii, Kigoma


: MICHUZI
 
Back
Top Bottom