Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Hahahaa haaaa uwiii Yaani nimecheka
Lissu ana familia my dia
Hahahaa Tina unanicheka? Nilikuwa nimefall kwa kamanda mwenzio
Hahahaa haaaa uwiii Yaani nimecheka
Lissu ana familia my dia
Ana mke wa kikurya na watoto tayari labda Mnyika anaweza kuwa available hebu vizia
Ooops..!! Bahati si yangu. Mnyika naona kama serengeti boy ati...
Zitto bado hajaoa pia hebu wahi my dear
Ndoa yao, IHESHIMIWE na watu wote.
Nawapongeza wana ndoa na wabarikiwe !
USHAURI:
Mme ampende mkewe.
Na mke amtii mmewe.
House Girl awe CUF hapo ndo UKAWA utakamilika!!Anamuoa Jesca Kishoa wa Chadema. Ukawa kama kawa
Mtoto ataitwa Escrow Tumbili.Ndio vizuri ukawa waongezeke, ukawa kila mwaka wanaongezeka ccm wanapungua kwa kufa
Mnyika tayari, labda Wasira 'Tyson'!Ana mke wa kikurya na watoto tayari labda Mnyika anaweza kuwa available hebu vizia
Daah mkuu kumbe nawe mpana hivi? Ila bwana mkubwa wa PAC si alikuwa anapumzika kwa marehemu Shemeji wetu mke wa marehemu kaka? Ila thamani ya mapenzi bhana...look what theve done mke kazikwa hukooo bwana kaka kisutu...anyway nitakie kaka ''Tumbili'' ndoa njema!si alitoswa na DIVA baada ya DIVA kuona ufesti ledi umeota mbawa...
binti kiruka njia yule khaaa...