David Kafulila anaoa leo 22/11/2014

David Kafulila anaoa leo 22/11/2014

Hongera ,Filikunjombe jiandae kwenda kuhojiwa na ile kamati yenu,ccm hawanaga kadogo si.

Mimi Deo filikunjombe nawasubilia kwa hamu sana waingie kwenye anga zangu niwa lipue , wewe fatilia utaona mwisho wake.
 
Last edited by a moderator:
Huyu bibi harusi anaitwa kamanda Jesica David Kishoa.Ni mwanachadema mpambanaji sana.Kama unataka picha zaidi za uzuri wake ingia fb usearch hilo jina.

Uko sahihi kabisa mkuu, wewe una mfahamu huyu .
 
Big up the patriot tumbili! Big up the patriot tumbili!
Big up the patriot tumbili! Big up the patriot tumbili! Big up the patriot tumbili! Big up the patriot tumbili! Big up the patriot tumbili! Big up the patriot tumbili! Big up the patriot tumbili! Big up the patriot tumbili! Big up the patriot tumbili!
 
Mama Kafulila tafadhali sana uwe mke mwema kwa mmeo utoe ushauri wa busara usije ukasababisha ESCROW yetu ikafa kibudu tunamwamini mh tangu alipoanza kupambana mpaka akatufumbua wengine macho kumbe TULIPIGWA KWA WINGI mpaka AIBU ndiyo maana utasikia mara anaitwa TUMBILI, MSHENZI n.k wala usijali shemeji yetu tuko nyuma yake hadi kieleweke.
 
Kuwa mwangalifu unapochangia hoja kwenye mada kama hizi. Kwenye kitu muhimu chenye baraka za Mungu, hapatakiwi utani ama udhalilishaji. Mungu anaweza kukugeuzia kibao kwa kauli zako unazozitoa mahala popote pale yaani hata hapa JF.

Hongera sana Mh. D. Kafulila na Mrs. D.Kafulila. Mungu awabariki katika maisha yenu yote ya ndoa. Amen.
 
Hivi kwa nini Watanzania hamtoi credit kwa gazeti la The Citizen waliofichuwa wizi wa Escrow?
 
Kuwa mwangalifu unapochangia hoja kwenye mada kama hizi. Kwenye kitu muhimu chenye baraka za Mungu, hapatakiwi utani ama udhalilishaji. Mungu anaweza kukugeuzia kibao kwa kauli zako unazozitoa mahala popote pale yaani hata hapa JF.

Hongera sana Mh. D. Kafulila na Mrs. D.Kafulila. Mungu awabariki katika maisha yenu yote ya ndoa. Amen.

Acha dua la kuku mkuu....mbona makamanda wako imara sana.....we songa mbele.
 
Hivi kwa nini Watanzania hamtoi credit kwa gazeti la The Citizen waliofichuwa wizi wa Escrow?


Kwani wao (the citizen) walizitoa wapi takwimu muhimu na nyeti za hiyo ishu , kama sio kutoka kwa wadau kama kina kafulila?
By the way , hongera sana ze citizen kwa kunyumbulisha habari hiyo ya wizi wa ESCROW.
 
Last edited by a moderator:
sasa ataenda honeymoon au atamalizia issue ya escrow?
cc:
MeinKempf
 
Last edited by a moderator:
attachment.php


Kisura huyu
 
Kweli kabisa, nitamshauri na mdau wangu Zitto Kabwe. ajiunge kwenye chama la wakubwa.

Kwani mkuu labda unafahamu ni nn kinamzuia Zitto kuingia kwenye hiki chama chetu cha Wakubwa? Is it kukwepa majukumu au bado anakula ujana? Au kipi hasa, maana I guess he is around forty hivi?
 
Kwani mkuu labda unafahamu ni nn kinamzuia Zitto kuingia kwenye hiki chama chetu cha Wakubwa? Is it kukwepa majukumu au bado anakula ujana? Au kipi hasa, maana I guess he is around forty hivi?

Wajua bado hajakamata wezi wake anao watafuta kwa kitambo kirefu sana,
na unajua ukiisha kuwa na hawa viumbe harakati zako zinaweza kuwa shakani.
Au TEAM mchepuko mnasemaje juu ya hili?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom